Ni kitu gani...?!

Akitaka tigo, kunitukania/kuwadharau wazazi, kunifananisha na hawara zake, kuambiwa anatembea na mfanyakazi mwenzake, kumfumania na HG.; kumtamani binti yake.
 
<b>6.Ulalamikaji/kutokua na shukrani - hata ufanye zuri gani huwezi pata asante na mbaya zaidi utaambulia malalamiko.
</b>
<br />
Hii tabia inakera nakuniudhi kulikopitiliza mpaka inanikatisha tamaa kwa kweli umenisemea kila kitu aisee.

Naongezea kidogo pia na masimango juu utayapata oohh unaringa kwasababu siku hizi una kile una hiki kwani ulitaka nisiwe nacho??
Inaboa sana....

Kwenye masimango bado hujaambiwa kama sio mimi ungekua hivi au vile?!Ungejua hiki au kile?!Sijui nini na nini....
 
6.Ulalamikaji/kutokua na shukrani - hata ufanye zuri gani huwezi pata asante na mbaya zaidi utaambulia malalamiko.


Hii tabia inakera nakuniudhi kulikopitiliza mpaka inanikatisha tamaa kwa kweli umenisemea kila kitu aisee.

Naongezea kidogo pia na masimango juu utayapata oohh unaringa kwasababu siku hizi una kile una hiki kwani ulitaka nisiwe nacho??
kutikuwa na shukrani = tenda wema uende zako
 
Akitaka tigo, kunitukania/kuwadharau wazazi, kunifananisha na hawara zake, kuambiwa anatembea na mfanyakazi mwenzake, kumfumania na HG.; kumtamani binti yake.

1. Kumbe ana mahawara na unajua na unaona poa tu!
2. Kumbe akitembea na wengine nje ya hyo orodha ruksa!! e.g Wafanyakazi wenzako, Bar maids, Wadogo zako..........Lol!
 
Kila mtu anajua nini haswa kilichomvutia/mpendeza hata kutaka/kukubali kuo/kuolewa au hata kua na mpenzi aliye nae.Hata wale ambao hawana wapenzi wana idea ya nini kinachoweza kumvutia kwa mtarajiwa wake!

Swali: je ni kitu gani kinachoweza kukufanya uachane na mke/mme/mpenzi wako?!Ni kitu gani unafikiri akifanya au kikitokea kwenye mahusiano yenu baada ya muda hutoweza kuendelea kuvumilia?!

Binafsi vitu ambavyo vinaweza kuniondolea yale mapenzi nlokua nayo mwanzo ni ....
1. Kunipiga - mwanaume kuniinulia mkono mwanamke mzima ambae kama kuna tatizo angeweza kunijulisha kwa njia nyingine na likatatulika kwa kweli siwezi kuvumilia.Maana ukichekelea leo jiandae na kesho!!

2.Kutoka nje ya mahusiano. - sijui kama itatokea siku nikabadilisha mawazo kuhusu hili ...kwa sasa hivi naamini kama mtu ananipenda na kuniheshimu kweli hawezi kutoka nje ya mahusiano tuliyonayo.Kama kuna kinachokosekana aniambie nirekebishe.

3.Kunidharau/tukana mbele za watu - inaonyesha haniheshimu...na kama haniheshimu siwezi kuona tukiendelea hata kufika mbali zaidi ya kua wapenzi tu maana kuheshimiana ni muhimu.

4. Kuonyesha kutokujali hisia/mawazo yangu - mtu ambae anamwachia mwenzake kazi nzima ya kujenga mahusiano ni sawa na mzigo mzito ambao unabebeka ila baada ya muda unachosha.Kuna watu ambao wao hata kumjulia mwenzake hali hawezi...kusongesha mahusiano mbele hawezi..yani we unakua na kazi ya kumpeleka upande huu na ule bila kujua kama kweli ndo kilichopo moyoni mwake.Kama unamlazimisha vile au anafanya tu kukuridhisha uendelee kuwepo kwa muda ule ambao anaweza kutumia uwepo wako.Ubaya wa watu kama hawa ni kwamba hata siku akiamka akakwambia sikuwahi kukupenda huwezi kumbishia kwasababu hakuwahi kukwambia wala kuonyesha kwa matendo!!

5.Ubinafsi - mtu wa mimi..mimi ..mimi.Kila kitu ni vile anavyotaka yeye au hamna kitu.Wakati mahusiano yanatakiwa yawe makubaliano na michango ya pande zote mbili.

6.Ulalamikaji/kutokua na shukrani - hata ufanye zuri gani huwezi pata asante na mbaya zaidi utaambulia malalamiko.

7.Kutokujiamini kulikopitiliza - maana mara nyingi hii hua inazaa tuhuma.Anakua hana imani kwamba unampenda kweli au ukienda sokoni unaenda kununua nyanya tu na kurudi.Tuhuma zikizidi zinaua hisia zilizokuwepo.
N.k....

Wewe je....?!

A man/woman from another planet!!!!!! kwa maana hivyo saba very likely mtu kua na kimoja.
 
Sijui nikuelezeje rafiki yangu,mapenzi ni kitu cha ajabu sana na mwanzo mara nyingi huwa ni mtamu hata uambiwe mwenzako kikojozi,mwizi,mbinafsi nayote uliyorothesha unaweza ukakataa sasa mambo hugeuka siku baada ya siku huwa sielewi ni nini?.......inaweza kuwa kuchokana,kuzoeana sana na kuona hakuna jipya au mapenzi kupungua/kwisha hapo ndo huwa tunaanza kuhesabiana kila kosa tunalofanya siamini ale tunayoona kwa wapenzi wetu leo yameanza sasa mengi ni tabia wlizokuwa nazo toka tunakutana
.
pungufu yapo na hatuna budi kuvumiliana ila mtu unapopoteza nguvu na muda mwingi kwenye "kuvumilia" badala ya kumfurahia mwenzako pamoja na mahusiano yenu inabidi kuwe na mabadiliko....na ikishindikana inabidi muangalie tena kama hiyo couple yenu ni sahihi au la.Mapenzi sio mateso...yanatakiwa kufurahiwa![/QUOTE]
 
Sijui nikuelezeje rafiki yangu,mapenzi ni kitu cha ajabu sana na mwanzo mara nyingi huwa ni mtamu hata uambiwe mwenzako kikojozi,mwizi,mbinafsi nayote uliyorothesha unaweza ukakataa sasa mambo hugeuka siku baada ya siku huwa sielewi ni nini?.......inaweza kuwa kuchokana,kuzoeana sana na kuona hakuna jipya au mapenzi kupungua/kwisha hapo ndo huwa tunaanza kuhesabiana kila kosa tunalofanya siamini ale tunayoona kwa wapenzi wetu leo yameanza sasa mengi ni tabia wlizokuwa nazo toka tunakutana
.
pungufu yapo na hatuna budi kuvumiliana ila mtu unapopoteza nguvu na muda mwingi kwenye “kuvumilia“ badala ya kumfurahia mwenzako pamoja na mahusiano yenu inabidi kuwe na mabadiliko....na ikishindikana inabidi muangalie tena kama hiyo couple yenu ni sahihi au la.Mapenzi sio mateso...yanatakiwa kufurahiwa![/QUOTE]
 
Lizzy,<br />
<br />
<b>Ma-Bachela</b> na <b>Ma-Single</b> huwa mnanifurahisha sana! Mambo yenu ni ya kusadikika tu!
<br />
<br />
We mchokozi sana.
Mama enoki hajawai kukusulubu kwa makofi?
Najua huwezi sema mana ni aibu afu inauma.
 
mwe
peleka fujo huko..
ntakuwa nimesha staafu kwenye haya mambo
na nitakuwa na majibu ya maana ...

Basi nitakununulia bazoka usinisemee
alafu ukiona tu lizzy na mahusiano usifungue mtt!

b4 hata lizzy alikua afungui!!!!!!!!
 
LOVE Equation
Love > matatizo yote ya mwenza wako = Uvumilivu
Love < matatizo yote ya mwenza wako = Kuachana

Explanation
If love is greater kuliko matatizo yote basi watu wanavumilia
If love ni ndogo hata yale matatizo ya kawaida ya mwanzo yatapelekea kuachana (yaani ule mwanya wake utaanza kuuona kama pengo au beauty spot itaonekama kama mole)

Source: Mimi mwenyewe
 
Gubu huwa lina kera, yaani malaamiko tu, yasiyo na maana, kila kitu yeye analalamika tu,mwingine hata akikuta umehamisha after shave yake atalalamika mpaka anaondoka, kwa kweli mimi hili huwa linanikera, ila ndio hivo tena kama kawaida yangu, huwa ni mwanamke mwenye uvumilivu,nina imani kwenye mahusiano ni kuchukuliana tu, najua hata mie kuna vitu ananivumilia pia, kwani kila binadamu kaumbwa na mapungufu yake
 
Back
Top Bottom