CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,255
- 12,872
Sana tu...., ila kwa wakati husika!! Kama ilivyo kwa wanaochagua option ya kuwa small house!!
mh,haya!
Sana tu...., ila kwa wakati husika!! Kama ilivyo kwa wanaochagua option ya kuwa small house!!
Alafu mi sijapata kigezo cha u'bachelar wako! Inakuaje ukongwe wako wa Jeiefu thn iwe hivyo?
Au wanaokutokea unawatolea nje?
Labda ww mwenyewe unapenda HalimaMdeeisims?
Alafu mi sijapata kigezo cha u'bachelar wako! Inakuaje ukongwe wako wa Jeiefu thn iwe hivyo?
Au wanaokutokea unawatolea nje?
Labda ww mwenyewe unapenda HalimaMdeeisims?
Kujifanya umezima sim ulikuwa kwenye kikao kumbe unakimbia wanaokudai, mungu anakuona
Afu wewe Kipipi na BADILI TABIA kutwa mnanitega na migongo wazi..ndoto NYEVU kila uchao...mungu anawaona...Na huyo bi kizee ndo nani, bi nyakomba au??
namba mbili inahusu sana maisha bora kwa kila mtanzania[/QU unamaanisha nn?
NILIVYOELEWA MIE NDIVYO NINAVYOMAANISHA
kaka nitakuja unipeleke kwa yule FUNDI wako bagamoyo...nahisi kuna mtu ananichezea Judgement sio bure!
mkuu,mie bdo single searcher naweza kesha jf mpk asbh!
meipenda "halimamdeeisims" afu hyo mbona shwari? full kuenjoy maisha bila stress. . . .
Shemeji Judgement usiku mwema
Swahiba Kipipi good night
My friend Preta mada nzuri ili usingizi umeshika kasi klorokwini na Erotica mniote BAGAH uache kupotea Erickb52 njozi njema charminglady lala unono Vin Diesel Mmwaaaaaaaa
@My sweet wifi Blaki Womani i love you
Wengine wote Mungu awalinde na maovu yote
Afu Judgement sie ni under 16 hivyo bado hatujaanza kunaniliu.