bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,862
Kuanzishwe tume ya manyanyaso katika ndoa; Ishughulike manyanyaso kama haya! unajua kama ndoa haziko stable basi na familia zetu nyingi haziko stable pia vivyo na taifa halitakuwa stable!
So hii issui ni siaz kuliko tunavyofikiri!
familia kiungo muhimu sana kwa taifa kwa kweli maana hata maendeleo ya nchi yaaanzia hapo atiii!!!!