george aloyce
JF-Expert Member
- Aug 22, 2017
- 1,177
- 1,823
MUME WANGU ANALAZIMISHA NIFUTE PICHA ZA X WANGU!
Habari Kaka, mimi nimeolewa ndoa yangu ina miezi 6 sasa, sababu ya kuja kwako nikuwa, mume wangu ana wivu sana. Kabla ya kuwa na mume wangu nilikua na mwanaume mwingine, tulikaa kwenye mahusiano kwa miaka 7, lakini tukaja kuachana kwakua alinisaliti tukagombana lakini mwisho tukaja kupatana ila nilishampata huyu mume wangu nayeye alishaoa.
Sasa shida iko hivi, mume wangu ana wivu sana, yaani anawivu mpaka inaboa na mpaka wakati mwingine naona ndoa chungu. Kuna siku nilimpost dada wa huyo X wangu, alikua rafiki yangu na mpaka sasa hivi tuko karibu, mume wangu alikasirika tukagombana mpaka nikafuta. Lakini kuna siku mume wangu kashika PC yangu, akakuta kuna picha nyingi ambazo nilipiga na X wangu.
Kaka sio picha za uchi wala nini ni picha za kawaida, lakini alikasirika na kuniabia nifute. Mimi sikufuta, nilisave sehemu nyingine nikafuta kwenye compuer, sasa juzi kaziona tena kakasirika yaani mpaka anasema kama vipi tuachane anahisi bado nampenda X wangu, yaani ana wivu wa jabu nisaidie Kaka mimi naishije na huyu mwanaume.
Habari Kaka, mimi nimeolewa ndoa yangu ina miezi 6 sasa, sababu ya kuja kwako nikuwa, mume wangu ana wivu sana. Kabla ya kuwa na mume wangu nilikua na mwanaume mwingine, tulikaa kwenye mahusiano kwa miaka 7, lakini tukaja kuachana kwakua alinisaliti tukagombana lakini mwisho tukaja kupatana ila nilishampata huyu mume wangu nayeye alishaoa.
Sasa shida iko hivi, mume wangu ana wivu sana, yaani anawivu mpaka inaboa na mpaka wakati mwingine naona ndoa chungu. Kuna siku nilimpost dada wa huyo X wangu, alikua rafiki yangu na mpaka sasa hivi tuko karibu, mume wangu alikasirika tukagombana mpaka nikafuta. Lakini kuna siku mume wangu kashika PC yangu, akakuta kuna picha nyingi ambazo nilipiga na X wangu.
Kaka sio picha za uchi wala nini ni picha za kawaida, lakini alikasirika na kuniabia nifute. Mimi sikufuta, nilisave sehemu nyingine nikafuta kwenye compuer, sasa juzi kaziona tena kakasirika yaani mpaka anasema kama vipi tuachane anahisi bado nampenda X wangu, yaani ana wivu wa jabu nisaidie Kaka mimi naishije na huyu mwanaume.