He? bibi wewe nawe ndio nini kumsema mumeo kiasi hicho? Hicho ni kitu cha kawaida sana kwa siku hizi, mbona wewe kama umerudi miaka ilee ya 47? Mimi kilikuwa kipya kwangu lakini kwa sasa nimezoea na tunaishi vizuri tuu, acha hizo mpe mwenzio japo siku moja moja, ndoa yenu itadumu na mtakuwa na amani. Unaweza kumchukia mkaachana alafu ukapata mwingine hata hajatamka kukuoa urafiki tu anakuomba kitu kile kile, utakuwa umeruka majivu na kukanyaga moto. Nikuambie shoga hiyo ni style kwa wanaume wengi sana siku hizi! Hata humu JF wapo wengi tuu, lakini kwa aibu utaona wanakuandikia kukupa pole, ila mioyoni mwao wanakuona hujatulia! MI NAKUOMBA SHOGA MPE MUMEO, DUNIANI MAPENZI KUPEANA!
ohooooo! Sydney wewe ni HE/SHE? samahani kwa swali hilo
Sydney sasa wajameni huyo dada kasema hapendi halafu anaumia lakini huyo baba analazimisha tuu...kaizer, vipi unashangaa hizi ni zama za uwazi na ukweli ndugu yangu, mimi ni she! na ndio maana namshangaa sana huyo mwenzangu! Ataweza kuvunja ndoa kwa kuogopa kujifunza kupika ugali na kuungua unapotokota! BILA SAMAHANI! ni mawazo tuu!
kaizer, vipi unashangaa hizi ni zama za uwazi na ukweli ndugu yangu, mimi ni she! na ndio maana namshangaa sana huyo mwenzangu! Ataweza kuvunja ndoa kwa kuogopa kujifunza kupika ugali na kuungua unapotokota! BILA SAMAHANI! ni mawazo tuu!
oow boy ... thats so cruel... I hope she had managed to get rid of him...
Hivi huko Tanzania hakuna courts? can she take this case to the court?
He? bibi wewe nawe ndio nini kumsema mumeo kiasi hicho? Hicho ni kitu cha kawaida sana kwa siku hizi, mbona wewe kama umerudi miaka ilee ya 47? Mimi kilikuwa kipya kwangu lakini kwa sasa nimezoea na tunaishi vizuri tuu, acha hizo mpe mwenzio japo siku moja moja, ndoa yenu itadumu na mtakuwa na amani. Unaweza kumchukia mkaachana alafu ukapata mwingine hata hajatamka kukuoa urafiki tu anakuomba kitu kile kile, utakuwa umeruka majivu na kukanyaga moto. Nikuambie shoga hiyo ni style kwa wanaume wengi sana siku hizi! Hata humu JF wapo wengi tuu, lakini kwa aibu utaona wanakuandikia kukupa pole, ila mioyoni mwao wanakuona hujatulia! MI NAKUOMBA SHOGA MPE MUMEO, DUNIANI MAPENZI KUPEANA!
KAIZER, kama nilielewa vizuri mumewe alianza kumuomba mke siku tuu walipofunga ndoa! Lakini mkewe ndo akawa mbishi, ndio maana jamaa akawa mbogo, lakini yote kayataka yeye mke, alipoombwa angekubali kisha akamwambia mumewe kuwa anaogopa then mumewe angemwendea taratibu, maana taratibu ndo mwendo, nina uhakika wangefika pazuri sio hapo walipo sasa! Si kweli kwamba jamaa anamwingilia kinguvu anataka haki ya ndoa maana mwanzo aliomba, JE? kama aliponyimwa na mkewe angeenda kutafuta nje, for sure tungekuwa tunajadili la yeye kulalamika mumewe anatoka nje ya ndoa! TUWE WAKWELI JAMANI TUNZA CHAKO, KITATULIA! sio kaizer?
Hizi mada Fidel80 anaweza kutoa msaada. Dunia inaongozwa na shetani dalili zote zimepita na sasa dalili zilizoko hata hazikutabiriwa na manabii lakini zinatokea. Kuna mambo hata shetani hashiriki kumshawishi mtu ni mtu mwenyewe amegeuka shetani.
Tufunge macho tuombe.
Eee Mungu baba nakuomba ukapate kumgusa huyo mwanaume fedhuli akapate kushindwa katika jina la Yesu na kama akizidi Mungu naomba umnyanganye hiyo nguvu inayompa kiburi asichaji tena maisha.
Amen