Jayfour_King
JF-Expert Member
- Nov 15, 2009
- 1,135
- 128
Kweli binadamu tuna tabia tofauti, suala hili hata kwa wale wanaopenda kujaribu jaribu mambo huwa hawawezi kufanya kwa wake zao labda kama jaribio hufanya kwa ma proffesionals na inasemekana hata price huwa iko juu kwani madhara yake yanafahamika.
Tabia hii huleta matatizo sana wakati wa kujifungua kama mtu atabahatika kupata mtoto na aibu hii huwa haijifichi kwani manesi huwa wanafahamu kwamba mwanamke anayetendwa hivi uwezo wake wa kusukuma mtoto huwa ni mdogo hadi jitihada za kitaalamu zifanyike, sasa kweli mtu na akili yake timamu anafanya hivi kwa mkewe, aibu gani hii jamani.
Pole dada huna ndoa hapo huu ni mkusanyiko wa wahuni mlioamua kuishi pamoja, usikae kimya hii ni balaa na udhalilishaji uliopita kikomo. Watu wanao heshimiana na kupendana kama ndoa inavyopaswa kuwa hawatendeani hivi!!
Tabia hii huleta matatizo sana wakati wa kujifungua kama mtu atabahatika kupata mtoto na aibu hii huwa haijifichi kwani manesi huwa wanafahamu kwamba mwanamke anayetendwa hivi uwezo wake wa kusukuma mtoto huwa ni mdogo hadi jitihada za kitaalamu zifanyike, sasa kweli mtu na akili yake timamu anafanya hivi kwa mkewe, aibu gani hii jamani.
Pole dada huna ndoa hapo huu ni mkusanyiko wa wahuni mlioamua kuishi pamoja, usikae kimya hii ni balaa na udhalilishaji uliopita kikomo. Watu wanao heshimiana na kupendana kama ndoa inavyopaswa kuwa hawatendeani hivi!!