MVUMBUZI
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 5,182
- 2,304
Huyu bwana hakutok nyumbani kwake kwa dhamira ya kwenda kuua bali aliitwa na mkuu wake kufanya kazi aliyoifanya. Kwa bahati mbaya majeshi yetu hufuata amri ya aliyekuzidi cheo. Kumshtaki kama muuaji nakataa ila inatakiwa waliomtuma wakamatwe kwani asingefanya alichoamriwa kufanya angekitia kitumbua chake mchanga. SERIKALI IACHE UONEVU IJUE INATENDA DHAMBI KWA KUTOMKAMATA KAMHUNDA, OCD NA YULE ASKARI ALIYEKUWA AMEVALIA KIRAIA. Mtaendelea kutoa kafara watoto wa wenzenu hadi lini!!