Yeye siyo shahidi bali ni mhusika mkuu katika mauaji hayo! Huyo Pacificus ni kondoo wa kafara.Shahidi wa kwanza ni RPC wa Iringa!
wana habar ni watu mhim sana, ila wanapewagwa ukuu wa wilaya. kwenye kundi lao wanafiki ni wengi kuliko wakweli na wazalendo.hapa sasa unahitajika ushujaa wa watanzania tukiongozwa na wanahabar...
Kama ulikuwepo.... hii haswa ndio sababu.....Daaaaa basi tena hatutolizungumzia tena swala la mwangosi maana lishafika mahakamani.
Vipi kuhusu wale nane wengine aliokuwa nao?
Kwa picha hii hapo ndipo utajua kweli An army is a collection of fools.Sikubaliani kabisa na kesi hii ni batili, Wanaharakati wote wanapaswa kuipinga hii kesi maana ni kuwafanya Watanzania ni wapumbavu kuliko maelezo.
Kwa picha hii hapo ndipo utajua kweli An army is a collection of fools.
Kwa picha hii hapo ndipo utajua kweli An army is a collection of fools.
mtu anaitwa Pacific. haya mazingaombwe+
No please...
Mshitakiwa wa kwanza alitakiwa kuwa RPC Kamuhanda, akifuatiwa na RCO na huyo muuaji pamoja na wale wengine sita kama wanavyoonekana kwenye picha mbalimbali zilizopigwa wakati wakimtesa Mwangosi.
Kutomshitaki Kamuhanda katika tukio hili la mauaji ya Mwangosi ni sawa na kuiminya haki ya marehemu na kuwatukana watanzania kwa ujumla wao.