kibogo
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 9,739
- 4,732
hakika vyote watafanya lakini siku zote hukumu hutolewa na mungu sio binadamu kama wanavyofikiri, kwa hiyo wafanye usanii wao lakini chini ya jua hili haki itatendeka kwa wote walihusika na ukatili huu juu ya binadamu mwenzao, mungu tusaidie dua zetu zipokee na uwaangamize wote kwa umoja wao waliohusika na ukatili huu nawasilisha dua zangu kwako..... Amen