Kwanza arudi Ikulu ili natural selection ifanye kazi kwa wote,sio yeye anajificha na familia yake halafu anataka natural selection kwa wanyonge pekee!
Ukiugua na kupona hauna gaurantee kuwa hutaugua tena na tena!
 
Ningekuwa Rais wa Tanzania ningefanya kama Magufuli alivyofanya

Ukipita mbagala maisha ysnaendelea vizuri

Ila mtandaoni kwa watu wenye vihela vyao wanadeka kweli
 
Amiri jeshi mkuu kasema tupo vitani. Nashauri wasaidizi wake mchukie hatua kutoa elimu na uthibiti kupunguza misongamano na mwingiliano.

Mfano jiji Dar vituoni wawepo askari wahoji mtu anakwenda mjini katikati jiji kufanya nini, vivyo hivyo na mikoani stand na vituo ikibidi mtu apate kibali cha mtendaji wa mtaa,kijiji kusafiri.

Ajabu sana kuna mtu anakwenda Karikoo toka Mbagala kwenda nunua chupi yake binafsi! Watanzania bado uelewa wetu mdogo sana, inabidi hatua fulani kutushurutisha kwa usalama wa afya zetu.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Moja kwa moja kwenye mada.

Hakuna shaka yoyote kuwa dunia imekumbwa na janga ambalo changamoto zake ni kubwa mno kuliko hata za vita vikuu vya pili.

Wazito wengi wa dunia hii walilielezea hili kwa ufasaha wakiitisha mataifa kujiandaa. Hii ikiwa mapema sana hata kabla ya janga hili kutufikia.

Wapo wengi tu (wakiwamo viongozi wetu wa serikali) hapa kwetu, tunaowajua kwa majina na hata kwa ID fake walilipuuzia na kudunisha tahadhari za suala hili vilivyo, ati kuwa:

1. Ni ka upepo tu katapita.
2. Hili ni gonjwa la watu weupe, weusi sisi hayo tunaugua sana magonjwa kama hayo tunapona.
3. Ni ka mafua tu.
4. Huu si ugonjwa wa nchi za hiyo.
5. Huo ni ugonjwa wa nchi za baridi nk, nk.

Yaani kila mmoja alisema lake na leo tunapopukutika wame uchuna. Wako kimya kama vile hawakuwahi kuwapo.

Matokeo yake hawakuweka mikakati yoyote madhubuti kuuzuia ugonjwa kuingia nchini.

Vivyo hivyo hata leo haieleweki wana mkakati upi kuwahami wananchi wakati ugonjwa umefikia hatua ya kusambaa na kuleta madhara kwa kasi tunayoiona.

Kenya dhidi ya uchumi waliamua kulinda watu wao:












Rwanda na Uganda waliamua kuhami watu wao dhidi ya uchumi. Kama ilivyo kwa Kenya ma amiri jeshi wao wakuu ndiyo wako mstari wa mbele kwenye mapambano kuongoza vita.

Siyo manesi kwani hii ni vita tena vita kubwa isiyo kuwa na mfano. Manesi hutunza (huuliza) wagonjwa vita hupiganwa kutokea katika command centers:

IMG_20200417_160127_313.jpg


Tuelimishane wenye kufahamu:

Mkakati wetu au mikakati yetu ni ipi kututoa kwenye takwimu hizi mbaya zisizokuwa na sifa wala mwelekeo?

Corona State.jpg

Hii mipasho ya kuwa rais si nesi wa kuongoza vita hivi inaweza kuwa haitusaidii sana.

Kulinda uchumi dhidi ya maisha ya watu, dhana hii ina mashiko yapi?















 
Katika suala la kupambana na virus vya KORONA niwapongeze wabunge wengi wa CCM na wale vyama vya upinzani kwa kupingana na Sera ya Rais ya tuchape kazi tusiogope kakorona.
Wabunge wengi wameenda kinyume na mawazo yake na badala yake wanahimiza kampeni ya Stay home ( baki nyumbani) kupitia mitandao mbali mbali ya kijamii Kama vile Instagram, WhatsApp na Facebook.

Kampeni hii imefanikiwa kwani ukiangalia kwa Sasa mitaa mbalimbali ya jiji la Dar watu wamepungua Sana na pia kwenye usafiri wa umma idadi kwa sasa Ni ndogo ukilinganisha na ilivyokuwa awali.

Huu ndio ujasiri tunaoutaka kwani siyo kila wazo la Rais linakuwa sahihi, mengine inafaa kujiongeza. Tuendelee kupambana mpaka nchi ijifanyie lockdown bila hata tanko la Rais maana hata yeye kashaunga mkono kwa kijifanyia lockdown jijini Chato.
 
Katika suala la kupambana na virus vya KORONA niwapongeze wabunge wengi wa CCM na wale vyama vya upinzani kwa kupingana na Sera ya Rais ya tuchape kazi tusiogope kakorona.
Wabunge wengi wameenda kinyume na mawazo yake na badala yake wanahimiza kampeni ya Stay home ( baki nyumbani) kupitia mitandao mbali mbali ya kijamii Kama vile Instagram, WhatsApp na Facebook.
Kampeni hii imefanikiwa kwani ukiangalia kwa Sasa mitaa mbalimbali ya jiji la Dar watu wamepungua Sana na pia kwenye usafiri wa umma idadi kwa sasa Ni ndogo ukilinganisha na ilivyokuwa awali
Huu ndio ujasiri tunaoutaka kwani siyo kila wazo la Rais linakuwa sahihi, mengine inafaa kujiongeza. Tuendelee kupambana mpaka nchi ijifanyie lockdown bila hata tanko la Rais maana hata yeye kashaunga mkono kwa kijifanyia lockdown jijini Chato.
Jijini Chato. Anyway!!! Kwanini wasiseme waziwazi kwenye ile platform yao (bunge)? Huo pia ni unafiki wa hali ya juu sana.
 
Rais tangu mwanzo alisema tuchape kazi huku tukichukua tahadhari. Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Hajasema mkajazane huko mitaani. Amesisitiza tupunguze misongamano na hata wasaidizi wake wametoa ufafanuzi sana.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jijini Chato. Anyway!!! Kwanini wasiseme waziwazi kwenye ile platform yao (bunge)? Huo pia ni unafiki wa hali ya juu sana.

Mkuu huo sio unafiki bali ni insurbodination ambayo adhabu stahiki ni kutolewa kwenye machinery system na huo ndio ukweli kwani unapoamua kumtumikia bwana basi na iwe hivyo na kama hupendi basi unatakiwa ujitoe na si kufanya against your boss
 
"Wabunge wengi wa Ccm" ni akina nani hao! Mbona hujawataja kwa majina walau wale walio mstari wa mbele zaidi? Kwa upande wa Upinzani wanafahamika tayari.
 
Habari wakuu

Dunia nzima imesimama na uchumi wa dunia unashuka kwa kasi sana kisa huu ugonjwa wa corona,maajabu yake sasa

-Mtu anaweza kuwa haoneshi dalili zozote, hakohoi, hana homa kali, kifua hakibani, joto lake la kawaida lakini anakutwa positive, na anauwezekano wa kipona mwenyewe bila hata kutumia dawa,huu ni uhuni na itakuja kujulikana

-Vipimo vinavyotumika kupima hawa wagonjwa mimi binafsi nina wasiwasi navyo sana, vinamkanganyiko kiufupi havieleweki,kama umeshatuliza kichwa vizur unaweza kugundua ,nadhani hadi jpm alishaanza kugundua ujanja ujanja wa hizi mambo ,hana wasiwasi kabisa

-Mataifa ugonjwa ulipo anzia wameshaanza shughuli zao za kila siku, na saizi inaonekana ni ugonjwa wa kawida tu .

-Kujifungua ndani ni upuuzi ambao utakuja kujulikana badae, kuchukua tahadhari kama yalivomagonjwa mengine ni muhimu zaidi

-mwisho kabisa, shule, vyuo na mambo mengine lazima yataendelea na corona itakuwepo ,watu wataiishi

-JPM anaona mbali sana, Muda si mrefu hata shule, vyuo, na viwanjani shughuli zinaenda kuanza

Na huo ndio utakuwa mwisho wa corona Tz

-Kablayaoctobarlazimamshindiwacoromaatakuwaamepatikana


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aruhusu kwanza shule na vyuo kufunguliwa badala ya viwanja vya michezo kama alivyojinasibu, ili watoto na wadogo zetu warudi kwenye masomo yao na ikibidi wale wanaojiandaa na mitihani yao ya Kitaifa, wafanye mapema iwezekanavyo.
 
Back
Top Bottom