Binafsi ninaona Majimbo ya uchaguzi ni mengi mno hivyo ninaishauri Serikali kupunguza majimbo ya uchaguzi kwa ushauri ufuatao:
Jumla ya Halmashauri zote katika nchi hii ni 184 basi kwa mantiki hiyo kila Halmashauri iwe na Wabunge wawili yaani Mwanaume moja na Mwananmke moja.
Majimbo ya sasa ni mengi sana mfano inakuwaje Mji mdogo kama Bunda, Tarime na mengineyo kuwa na Mbunge. Huu ni ufujaji wa fedha za Serikali. Tufuate ushauri alioutoa Warioba katika Rasimu yake.
Jumla ya Halmashauri zote katika nchi hii ni 184 basi kwa mantiki hiyo kila Halmashauri iwe na Wabunge wawili yaani Mwanaume moja na Mwananmke moja.
Majimbo ya sasa ni mengi sana mfano inakuwaje Mji mdogo kama Bunda, Tarime na mengineyo kuwa na Mbunge. Huu ni ufujaji wa fedha za Serikali. Tufuate ushauri alioutoa Warioba katika Rasimu yake.