Mswalie mtume walahi ili iweje!! Rais mwenye udenda anachaguaga???!! epusha balaa bwana weweeee??!!Mkuu hapo penye red ndo pamenifanya nichangie kwenye hii thread ambayo ni crap tupu.
Nakushauri, kwakuwa kamati bado haijaenda kwa Kikwete, nenda pale Makao makuu ya CDM kamwambie Mbowe kuwa unampendekeza Mama yako awepo kwenye hiyo team.