MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 10,233
- 22,317
Huko Instagram na Twitter kumetokea malalamiko ya kada mwandamizi na mjumbe wa mkutano mkuu wa CHADEMA ndugu Yericko Nyerere kuhusu kutoalikwa kwenye hafla ya futari iliyoandaliwa ikulu na Rais Dr Samia Suluhu ambaye pia ni mwenyekiti wa chama pendwa CCM. Nimesikitika na waandaaji kumsahau ndugu Yeriko kwenye hafla hii. Ingependeza kama angealikwa.
TUJIKUMBUSHE alichoandika Yeriko;
"Utaratibu wa Rais kualika Watz katika hafla za Ikulu ni wa kibaguzi ubadilike, Rais @SuluhuSamia anaongoza Watz wa kada zote, lakini mara nyingi kada inayopewa fursa nyingi za kufika Ikulu ni kada ya Wasanii, Viongozi wa Dini na kundi jipya katika nchi la Machawa. Haikubaliki!"
Binafsi siwezi sema kuwa Yeriko ana shida sana ya kwenda kufakamia futari iliyoandaliwa na mwenyekiti wa CCM bali naona anataka tu kutumia hiyo nafasi angalau hata kupiga picha na Mama Samia kwa sababu ya kumkubali sana jinsi anavyoiongoza nchi. Ninawasihi maafisa wa Ikulu kutomsahau Yeriko pale inapotokea hafla huko. Kiukweli mama anaupiga mwingi hadi makada wakubwa wa CHADEMA kama Yeriko wanashindwa kuficha hisia zao.
TUJIKUMBUSHE alichoandika Yeriko;
"Utaratibu wa Rais kualika Watz katika hafla za Ikulu ni wa kibaguzi ubadilike, Rais @SuluhuSamia anaongoza Watz wa kada zote, lakini mara nyingi kada inayopewa fursa nyingi za kufika Ikulu ni kada ya Wasanii, Viongozi wa Dini na kundi jipya katika nchi la Machawa. Haikubaliki!"
Binafsi siwezi sema kuwa Yeriko ana shida sana ya kwenda kufakamia futari iliyoandaliwa na mwenyekiti wa CCM bali naona anataka tu kutumia hiyo nafasi angalau hata kupiga picha na Mama Samia kwa sababu ya kumkubali sana jinsi anavyoiongoza nchi. Ninawasihi maafisa wa Ikulu kutomsahau Yeriko pale inapotokea hafla huko. Kiukweli mama anaupiga mwingi hadi makada wakubwa wa CHADEMA kama Yeriko wanashindwa kuficha hisia zao.