Moto wa Katiba Mpya CHADEMA kutinga Ikulu; KAMATI Kuu yateua kamati ndogo ya muafaka

Chadema inakwisha. Inakufa taratibu. Ifikapo 2015 hakutakuwa na Chadema tena. Hawajui kusoma psychology ya watanzania. Wakienda na masharti na vitisho kwa rais wamekwisha. Wakienda kwa wananchi na CCM nayo itaenda kwa wananchi. Tuone nani atashindwa. Nchi haiongozwi kihuni. Inaongozwa kwa mazungumzo na majadiliano. Chadema wanataka kuongoza nchi kwa maandamano. Wameangalia tv huko Misri, Tunisia na Libya sasa wanadhani hiyo inafaa Tanzania. Tusubiri tuone hiyo peoples power.
 
kikwete umeona ujumbe wa chadema wengi wao ni wagomvi wako tunakuomba uandaye majembe imara kwa ajili ya kujenga hoja mbadala kwa maslahi yetu wote. Usijali uprofesa wao ndio maana wewe ukawa Rais wa nchi na wao wakakwita wewe rais wao
 
chadema wanatumia mbinu zilezile za CUF kuonana na Rais wakitoka huko tutasikia inaundwa serikali ya mseto
 
toa maoni yenye akili siyo umbea hayo uliyotoa hapo juu ni mawazo ya kimaskini na ya watu wasiojitambua,ninamashaka na upeo waklo wa kuelewa,na elimu yako.chadema ni chama chenye akili na uwezo wa kufikili.
 
Kwa wano analyse mambo kwa juu juu, wanadhani CDM inaenda kukwama, lakini kwa great thinkers, hapo ndo utakuwa mwishi wa jk au ndo mahali pa kujichukulia ujiko, jk akikataa, wanachi wataambiwa kuna kitu anaficha na hivyo tayari itaonekana kuwa mswada ulipitiswa si halali.

akishauliwa vibaya na kukataa, siku si nyingi atajutia kukataa kwakwe. nwasislisha.
 
La kumuona Rais, najiuliza na niliuliza humu wanakwenda kumuona kama Rais? au Mwenyekiti wa CCM ?

Wajipange vizuri, Kikwete ni kicha na alishawahi kusema "waende watarudi" na sasa imetimia.

Umewashuka haooooo.

FF hapo kwenye red ulimaanisha KICHAA AU KICHWA! kifimbo cheza unaniangusha
 
naona fofofo amezinduka sasa.in fact naunga mkono hoja ya makamanda kutaka meza moja ya mazungumzo na mkuu wa kaya pale magogoni lakini wasiende na masharti na misimamo migumu,wanaweza wasipate ufumbuzi wa kile kinachowapeleka.watanzania tunataka katiba mpya sasa...............tumechoka....

Wahakikishe hawali wala hawanyi chochote ikulu maana jamaa kwa kuweka sumu ni hatari muuaji mkubwa huyo
 
MODS, mada ya kumuona Rais ni tofauti na mada ya tamko. ukizichanganya mada hizi flow ya mjadala inakinzana,mada ya kumwona Rais haioko kwenye tamko la chadema usiunganishe mada tofauti ya tamko na kumwona Rais kwenye mjadala mmoja. thread yangu iachwe ijitegemee ili tupate mtitiriko bora wa mada hizo mbili.

My take: Nawapongeza chadema kwa kutambua mapema kwamba kama wakisusa wenzao watakula. katiba itatengenezwa na wao chadema watabaki nyuma. hata hivyo sijui kama watamalizaje matakwa ya wafuasi na mashabiki wao wanaotaka maandamano nchi nzima.

Wamechukua uamuzi mpya na mzuri kwa wakati muafaka kwa sababu hata kama wangeamua kwenda kufanya maandamano Rais asingeweza kuwapa fursa ya kuwasikiliza. Wamegeuka nyuma na kuchagua kilicho bora kwa sasa.

Badala ya kutoa masharti ya namna ya kumuona Rais chadema wajiandae kwa hoja za kumshawishi Rais na Rais atakuwa na hoja zake. Kama chadema wataanza kwa kumpa masharti Rais kabla ya kuonana naye na Rais akitoa masharti kwa chadema kabla ya kuwapokea Ikulu wazo jema la chadema litakufa.

Pande mbili zenye masharti kamwe haziwezi kukaa kwenye meza ya mazungumzo. Chadema bebeni hoja kwenda kwa Rais msibebe masharti.

Hapa nina suala kidogo.

Si ni hao hao chadema walimkimbia pale alipokwenda kulifungua Bunge kwa kutoka nje kwa maana kuwa hawamtambui?

sasa iweje leo waende kumuona?

 
Chadema inakwisha. Inakufa taratibu. Ifikapo 2015 hakutakuwa na Chadema tena. Hawajui kusoma psychology ya watanzania. Wakienda na masharti na vitisho kwa rais wamekwisha. Wakienda kwa wananchi na CCM nayo itaenda kwa wananchi. Tuone nani atashindwa. Nchi haiongozwi kihuni. Inaongozwa kwa mazungumzo na majadiliano. Chadema wanataka kuongoza nchi kwa maandamano. Wameangalia tv huko Misri, Tunisia na Libya sasa wanadhani hiyo inafaa Tanzania. Tusubiri tuone hiyo peoples power.

We mzee naona unaota mchana kweupe!
Tangu lını CCM ıkawa na ushawıshı kwa Wananchı?
CCM walshapoteza credıbılıty ya PeoplesPower mıongo kadhaa ılıyopıta ndıyo maana huıshıa kuhonga kanga,kofıa,chumvı na kuchakachua kwa sana!
Nınaımanı sana na hıvı vıchwa vınavyoenda magogonı lakn czan kama ****** atajıandaa na wapambe wake ambao nı crıtıcal thınkers watakomatch na mashıne hızı.
Na sıku zote mtu mjınga hujenga dhana ya ubıshı na uoga wa kupokea hoja za mwenye uelewa. So kıtakachotokea nı kwamba ****** atazkataa tu hoja za CDM.
Nası hatutakuwa na hıyana kuıngıa barabaranı kuwaunga mkono wapıganajı wetu CDM.
Twendenı vıtanı.
 
Nafikiri mchangiaji ni mshabiki wa CCM au hajielewi maana ya Chadema kutaka kumuona raisi, kuandamana hata kwa raisi linamatokeo ambayo hata yeye hawezi kuyajua yatakuwa nini baadaye. Pili watanzania tunapaswa tujue kuwa CCM wanafikiri kuwa watatawala hadi mwisho wa dunia, ndio maana katika taratibu za kuelekea kurekebisha katiba hawataki masuala ya muungano na mamlaka ya raisi yasijadiliwe. Ukichana na mambo yote Muungano wetu ndio kikwazo kikubwa, na mamlaka ya raisi ndio tatizo namba moja, ambalo kila mtu na taasisi linaliongelea. Ila tatizo la sasa ni taratibu za sheria ya kupata katiba hiyo ndio tatizo, tunatakiwa tuwaelewe chadema n NCCR, kuwa wanapinga taratibu ambazo zimebakia palepale, raisin ndio kila kitu ndani ya katiba na mamlaka yake hayajadiliwi popote pale. Kma wewe unaakili sahihi je CCM ikipitisha hii katiba unafikiria ni kitu gani ambalo wewe unaona limebadilika au ni ushabiki wetu wa kawaida tu kama tunavyowachagua wabunge, madiwani au raisi. Watanzania tumezoea kila kitu ni ushabiki wa CCM na upinzani, hata taratibu zisipofuatwa watu hufany ushabiki wa yanga na simba kwenye masuala ya msingi na htma ya nchi yetu.

Hakuna anayefikiria kuwa chadema wanauwezo wa kufanya fujo wakitaka hata kuchochea vita, yakatukuta kama ya Madagascer, Syria, Tunisia, Libya, Misri, Yemen, n.k. Viongozi wa Tanzania na watanzania wamezoea kuangali video za kina Arnold Schwarzenegeer, Rambo, Vita vya Uganda, Brus Lee, na.kadhalika. Haya yote ni kutokuamini kuwa chochote kinaweza kutokea kwenye maadamano, na siku zote walala hoyi hawana cha kupoteza zaidi ya uhai wao, ila matajiri ndio wanaoogopa kufa kwani wana mali nyingi na uhai wao ambao wanafikiria ni tofauti na wa watu wengine ambao ni fukara.

Ndugu unapaswa kujua kuwa kama Mwenyezi Mungu ameandika kuwa CCM itaondolewa na CHADEMA ujue kuwa iwe kwa maandamano au ku kususia itawezekana tu.
 
Huyu Rais mbona mnamuona kama Mungu? He is a human being kama wewe na kumweleza dukuduku lao sio mbaya. Yeye ni kama wewe ungekuwa CEO wa kampuni na waliochini yako wanakuletea shida zao na wengine kukulaumu lakini lazima waweza wasikiliza au la!. CDM wako right na mustakabali wa nchi yetu ni katiba bora na si lazima katiba mpya. Katiba nzuri ni kwa manufaa ya watanzania wote na sio kwa wenye vyama tu. Mwaka jana waliopiga kura hawakufikia hata 7m lakini Watanzania tupo kama 45m kwa idadi. Maoni yangu ni kuwa katika kumuona huyu Rais wangeenda japo na watu wengine pia ambao ni nje CDM lakini wenye ushawishi katika jamii. HAsa hasa viongozi wa dini ambao waliwatembelea kabla ya uchaguzi last year. Tutoe mawazo mbadala yatakayo saidia nchi yetu na sio ushabiki wa vyama na watu fulani.
 
waliochaguliwa kwenye kamati ya kumuona Rais wamechaguliwa na nani maana wananchi hawajashilishwa kuwachagua. tunataka wananchi washirikishwe si kamati kuu ya chadema tu wanatunyima uhuru wetu

wangeshirikisha wananchi kuchagua kamati ya kumuona mkuru
 
Usifikirie kuwa Misri au Tunisia walichagua hilo, na usitofautishe misri, tunisia na Tanzani, kote ni binadamu wanaishi na wanafikiria sawa. Kama unaamini kuwa sisi sote ni sawa usingeweza kundika mawazo yako finyu, kuwa Tanzania siyo Misri/Tunisia. Mbinu za kuondoa serikali zinafanana duniani kote, vita au maandamani tu. Siasa zingine hina nafasi ndugu. Siasa sasa hivi ndio wakati wake ila wakati utafika na siasa itafikia kikomo, na hakuta kuwa na option nyingine zaidi ya nguvu. Usifikirie kuwa ni Wananchi wote ncdio watakao andamana au kupigana, sio ni watu wachache tu ndio wtaleta ukombozi ndani ya taifa lolote duniani. Misri ilikuwa ni Tahrir Square tu, ndio iliyo sambaratisha serikali ya Mfalme mubarak, Gadafi. Think before you write, no research no rigth to talk. Usiongee upuuzi wako kwani hakuna asiye jua kuw matatizo yaliyoko Tanzania ni mangapi, hakuna kazi, gharama za maisha zimekuwa kubwa bila sababu, ikisababishwa na makada wa CCM wafanya biashara. wahuni ni CCM ambao daima kufuata taratibu kwao ni mwiko.
 
toa maoni yenye akili siyo umbea hayo uliyotoa hapo juu ni mawazo ya kimaskini na ya watu wasiojitambua,ninamashaka na upeo waklo wa kuelewa,na elimu yako.chadema ni chama chenye akili na uwezo wa kufikili.

chama cha kuiga siasa za kutoka ktk media Cnn,aljazira eti pipopawa mara occupy.these chadema are full of sh*t
 
Hapa nina suala kidogo.

Si ni hao hao chadema walimkimbia pale alipokwenda kulifungua Bunge kwa kutoka nje kwa maana kuwa hawamtambui?

sasa iweje leo waende kumuona?


Hii ni Si hasa. Chadema inaelekea kufa sasa mpaka 2015 kwishney
 
Mimi naona CHADEMA kusema watamuona Kikwete ni strategy mzuri sana kwenye hii issue. Siasa ni mchezo na kila mchezaji anataka kufunga goli na hili kufunga goli lazima mpira uchezewe kwenye eneo la timu pinzani. So, CHADEMA wanachofanya ni kuchezea mpira kwenye eneo la Kikwete. Wanajua kama Kikwete akicheza vibaya huo mpira basi ni rahisi kufunga goli.
 
Baada ya magwanda kutambuwa kuwa sera yao ya kususasusa imewageukia juzi bungeni na hususan baada ya kuchambuliwa na Kikwete alipokutana na wazee, Watanzania wengi wamewaona viongozi waliowachaguwa kuwawakilisha bungeni kwa tiketi ya magwanda wamekosea na hawakuwatendea haki kwa kususasusa kwao na kutokuweza kupinga mswaada kwa kufata sheria na badala yake wakafata kuonekana kwenye Tv wakisusa. Hilo ni pigo kubwa sana kwa magwanda wakikubali wasikubali ilikuwa si busara kususasusa kama mitoto inayo deka, unamdekea nani?

Kwa kuwa wameshalikoroga turufu yao kwa sasa ni kumtambuwa Rais waliyesusa hata kusikiliza hotuba na kuomba kukutana nae ili japo kidogo warudishe hadhi kuwa waonekane wanafanya kazi.

La kumuona Rais, najiuliza na niliuliza humu wanakwenda kumuona kama Rais? au Mwenyekiti wa CCM ?

Wajipange vizuri, Kikwete ni kicha na alishawahi kusema "waende watarudi" na sasa imetimia.

Umewashuka haooooo.
Mimi nilitoa mawazo kwamba Kikwete kama kikwete amekosa uhalali wa kisiasa kiasi cha kuaminiwa kuongoza jamii, ndio maana hata CCM wanataka atoke katika kiti cha uenyekiti!!!

Hapa tukijadili kuwa CHADEMA wanamtambua Rais si kweli kwamba hawamtambui ila hawayambui matokeo yaliyomuweka Madarakani kwa misingi kwamba aliingizwa kwa nguvu za dola.

Ukweli uliopo ni kwamba kura za urais ziliibiwa na matokeo yake ni kwamba Kikwete hakupata ridhaa ya Umma bali ni mchakato wa watu wachache waliopo kwenye vyombo vya dola!!!

Ukweli wa jambo hili upo katika malalamiko, maandamano ya watu wengi katika miji mikuu yote. Wamachinga hawaitaki serikali ya Kikwete kutokana na hali iliyopo na katika kila Jambo la Maandamano ,migomo vyuo vikuu, mapigano wanaotuhumiwa kuanzisha ni CHADEMA !!!


Hata kama rais anapewa madaraka makubwa lakini asiwe Kikwete bali mtu mwingine
Ukianagalia yaliyojiri kwenye ripoyi ya JAIRO/LUHANJO utakuta udhaifu mkubwa unatokana na rais ambaye hawezi kuunda chombo kuchunguza wizi mkubwa hadi BUNGE lifanye hivyo!!!

Naomba tuache kusimamia Uongo Kwani ipo siku safari ya India ikiwadia utatoa Hesabu
 
Back
Top Bottom