KING COBRA
JF-Expert Member
- Nov 10, 2011
- 2,782
- 864
Hapa nina suala kidogo.
Si ni hao hao chadema walimkimbia pale alipokwenda kulifungua Bunge kwa kutoka nje kwa maana kuwa hawamtambui?
Kama kikwete hana hofu ni kwa nini muda wote anapenda kukutana na SHIBUDA kwanini sio CUF,NCCR, au hata CCM???
Wewe unatoka safari baadala ya kumukumbuka mtotowako unamkumbuka mtoto wa jirani !!!!
Hapo kuna nini??
CCM wanahaha kununua Wabunge wa CDM na sio CUF kwa nini??
Kama CCM ni imara kwa nini Kikwete amepiga marufuku Maandamano si ange acha aone kama Watanzania Wanampenda ???
Tuache Ushabiki wa kupewa fedha , tujenge nchi yetu !!!
hata kama Kaitiba ya Kikwete itapita kwa nguvu za dola , bado baada ya upinzani kuchukua nchi 2015 , Wananchi wataunda katiba mpya na Kikwete hatakuwa kwenye rekodi nzuri ya kuandaa katiba!!!
Tuache ushabiki katiba ndiyo inalinda akina JAIRO???
Kama kikwete hana hofu ni kwa nini muda wote anapenda kukutana na SHIBUDA kwanini sio CUF,NCCR, au hata CCM???
Wewe unatoka safari baadala ya kumukumbuka mtotowako unamkumbuka mtoto wa jirani !!!!
Hapo kuna nini??
CCM wanahaha kununua Wabunge wa CDM na sio CUF kwa nini??
Kama CCM ni imara kwa nini Kikwete amepiga marufuku Maandamano si ange acha aone kama Watanzania Wanampenda ???
Tuache Ushabiki wa kupewa fedha , tujenge nchi yetu !!!
hata kama Kaitiba ya Kikwete itapita kwa nguvu za dola , bado baada ya upinzani kuchukua nchi 2015 , Wananchi wataunda katiba mpya na Kikwete hatakuwa kwenye rekodi nzuri ya kuandaa katiba!!!
Tuache ushabiki katiba ndiyo inalinda akina JAIRO???