Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,599
Balozi, naomba tu nukubali maana huyu DC alikubali, halafu akakataa kisha akaingia mitini. Mimi naona tunendelee tu na wewe unafanya kazi njema pia.
Asante san Msanii kwa uongozi makini.
Kwa hapo M/Kiti naona unataka kuharibu kikao. Naomba uthibitisho wa hilo kabala sijaomba msaada from somewhere! Usipoangalia tutalazimika kurudia yale mambo ya Freedom square na Nkurumah kabla hujafunga kikao!!