Ccm wamesema cdm ni wakirsto na cuf ni waislam.sasa ccm ni chama gani raia wamejibu kwa sauti mafreemason
G.lema kiboko ya jk
Gamba linavuliwa romanuce katibu wa uchumi tabata,kadi zinatupwa watoto .kampeni meneja wa cuf nae kavua ganda kavaa gwanda.wamepokea wanachama 412 .watu wanafanya maandamano yakwenda kuzindua matawi na mh g lema maeneo ya tabata msimbaz na mtambani
Huu ni uzushi mtakatifu! Nimepita hapo shule watu ni wachache sana. Kuna wanazi kama 30 wamezunguka jukwaa na wananchi wa kawaida kama 70 wamejitenga kuzunguka uwanja!
kikwete, Pinda, Makinda wana mwogopa lema sijui kwanini...
Huu ni uzushi mtakatifu! Nimepita hapo shule watu ni wachache sana. Kuna wanazi kama 30 wamezunguka jukwaa na wananchi wa kawaida kama 70 wamejitenga kuzunguka uwanja!
Labda kwa kuwa wameshawahi kumsakizia ujambazi kupitia wakala wao Zombe, kwa hiyo wanaogopa anaweza kuwajambazia.
The unseen is illustrated by the seen.
kikwete, Pinda, Makinda wana mwogopa lema sijui kwanini...
J heche anaponda watu wa dar tunategemea watu wa mikoani watuletee mabdiliko,anadai tunawalea mafisadi.anasema moyo wa ccm upo dar ndo maana juz sisiem nao wamefanya mkutano pale jangwani chadema watafanya kamata mwizi ndani ya jiji la dar yeye na lema
Huu ni uzushi mtakatifu! Nimepita hapo shule watu ni wachache sana. Kuna wanazi kama 30 wamezunguka jukwaa na wananchi wa kawaida kama 70 wamejitenga kuzunguka uwanja!
simwombei mabaya ff lakini ninawasiwasi kama ni mzima maana ni kimya cha gafla mno...