Babuu blessed
JF-Expert Member
- Oct 14, 2010
- 1,362
- 490
- Thread starter
- #61
Kuna wahanga wa mafuriko walikuwa wanalala na kushnda hapa tbt kituo cha police.serikal iliposikia M4C itakuwepo hapa leo ijumaa na jumamosi wameamishwa na kwenda kupewa viwanja maeneo ya chanika.wameishi hapo tangu mafuriko yalipotokea mto msimbazi