Barnabas Shadrack, unaweza kuniambia ni kwanini CCM wanaongelea watu wa kaskini kama wakimbizi nchi hii? Ni watanzania halali?
Subiri baadaye nitakupa jibu maana mimi sio mfuasi wa Ccm lakini hali ya siasa hapa nchini ndiyo inayoonyesha ukanda wa Chadema.
The unseen is illustrated by the seen.