Mkutano wa dharula: Godbless Lema anaenda kupasua jipu

TODAYS

JF-Expert Member
Apr 30, 2014
13,768
21,252
Kuna kitu hakiko sawa na kinaenda kutolewa ufafanuzi muda mfupi ujao.
IMG_20230307_125608.jpg

Nadhani hii haikuwepo katika ratiba yake ila ndugu Godbless Lema anaitisha mkutano wa hadhara wa dharula, ngoja tuone na mlio karibu msisite kutoa updates.

Kupitia ukurasa wake wa tweeter Lema amesema;

"Kamanda John Heche, Msigwa , John Pambalu, Prof Lwaitama, Ezekiel Wenje na Viongozi wengine tutakuwa na mkutano wa hadhara ktk viwanja vya soko kuu leo kuanzia Saa 8 Mchana."
 
Tatizo la Lema ni kama la Lisu.

Kwa Sasa Mpinzani Bora kabisa ni John Heche .
Huyu jamaa anatoa hoja zenye mashiko sana . Anaeleweka na anatoa ufafanuzi vizuri sana. Nadhani amaedhihirisha kuwa Walimu wakiingia kwenye siasa wanakua na uwezo mzuri sana wa kueleza mambo Kwa ufasaha.

Lema na Lisu ni wanasiasa na Wanaharakati wasiao na woga kabisa lakini tatizo lao ni kuwa ni midomo michafu isiyao na simile.

Lema na Lisu wakidhibiti midomo yao na kauli zao ni kati ya wanasiasa walenye ushawishi mkubwa sana. Lakini Tatizo lao ni midomo yao. Tanzania na Afrika tuna Mila zetu na tunapaswa kuzilinda. Sio busara kuwatukana watu au kuwasema Kwa watu Kwa lugha zisizo na staha.

Mfano Boda boda hawana makosa kufanya kazi hiyo Bali ni makosa ya watawala kushindwa kutumia vizuri vichwa vyao kuleta ajira Kwa wingi Kwa watanzania . Sasa kuwakashifu wahanga Kwa kosa la wengine sio jambo la busara.

Lema atoe ufafanuzi Kisha aombe radhi kuwa hakueleweka vizuri na hakuwa na Nia mbaya.

Akumbuke hata Geo Devi ni wakala wa CCM Kwa ajili ya kulinda maslahi yake ya kuvuna pesa Kwa watu wa Arusha. Yaani anavuna pesa za watu na anatoa kidogo kuwahadaa. Ni mbinu za matapelei na hata wale wauza madawa Maarufu Duniani ndivyo wanavyoishi na jamii isiyo na maarifa juu ya watu wanaojioatia fedha nyingi Kwa kazi zisizozalisha zaidi ya midomo au biashara haramu.

Hata kanisa Katoliki liliwahi kuuza vyeti vya msamaha wa dhambi ili watu waende Mbinguni . Walijipatia fedha Kwa njia haramu na baadae likawa kanisa lililopo mstari wa mbele kutoa misaada kwenye jamii.

Lema awe makini sana wakati wa kutoa hotuba zake. Ajaribu kuchunga ulimi wake sana.
 
Tatizo la Lema ni kama la Lisu.

Kwa Sasa Mpinzani Bora kabisa ni John Heche .
Huyu jamaa anatoa hoja zenye mashiko sana . Anaeleweka na anatoa ufafanuzi vizuri sana. Nadhani amaedhihirisha kuwa Walimu wakiingia kwenye siasa wanakua na uwezo mzuri sana wa kueleza mambo Kwa ufasaha.

Lema na Lisu ni wanasiasa na Wanaharakati wasiao na woga kabisa lakini tatizo lao ni kuwa ni midomo michafu isiyao na simile.

Lema na Lisu wakidhibiti midomo yao na kauli zao ni kati ya wanasiasa walenye ushawishi mkubwa sana. Lakini Tatizo lao ni midomo yao. Tanzania na Afrika tuna Mila zetu na tunapaswa kuzilinda. Sio busara kuwatukana watu au kuwasema Kwa watu Kwa lugha zisizo na staha.

Mfano Boda boda hawana makosa kufanya kazi hiyo Bali ni makosa ya watawala kushindwa kutumia vizuri vichwa vyao kuleta ajira Kwa wingi Kwa watanzania . Sasa kuwakashifu wahanga Kwa kosa la wengine sio jambo la busara.

Lema atoe ufafanuzi Kisha aombe radhi kuwa hakueleweka vizuri na hakuwa na Nia mbaya.

Akumbuke hata Geo Devi ni wakala wa CCM Kwa ajili ya kulinda maslahi yake ya kuvuna pesa Kwa watu wa Arusha. Yaani anavuna pesa za watu na anatoa kidogo kuwahadaa. Ni mbinu za matapelei na hata wale wauza madawa Maarufu Duniani ndivyo wanavyoishi na jamii isiyo na maarifa juu ya watu wanaojioatia fedha nyingi Kwa kazi zisizozalisha zaidi ya midomo au biashara haramu.
Hata kanisa Katoliki liliwahi kuuza vyeti vya msamaha wa dhambi ili watu waende Mbinguni . Walijipatia fedha Kwa njia haramu na baadae likawa kanisa lililopo mstari wa mbele kutoa misaada kwenye jamii.

Lema awe makini sana wakati wa kutoa hotuba zake. Ajaribu kuchunga ulimi wake sana.
Midomo michafu ya Tundu Lissu na Godbless Lema ikoje? Hebu thibitisha..

Lakini Kwa hakika kabisa, kama huwa humwelewi na ku - admire Tundu Lissu Kila anapojenga hoja zake, basi wewe 1000 digits ni mjinga kabisa.!

Tatizo lenu mmezoea kusikiliza politicians waongo waongo na wanaopenda kupaka rangi upepo.

Watu kama Tundu Lissu na Godbless Lema walishakataa ujinga huo.

##Kama kitu ni nyeupe, lazima useme ni nyeupe na siyo nyeusi.

##Kama u - bodaboda ni moja ya indicator ya umasikini na umasikini ni LAANA katika jamii, basi sema hivyo na siyo kusema "huo ni magawanyo wa majukumu"

##Sasa kama kuusema ukweli kama ulivyo ni "kutotumia lugha ya hekima na busara" Kwa mtazamo na maoni yako, basi wewe ni mjinga na mnafiki mkubwa usiyestahili kusikilizwa!!
 
ujio wa Lema kaanza kwa kutupa mishale upande wa ccm na serikali,kwa mambo yanavyokwenda ipo siku ataanza kutupa mishale ndani ya Chademe.Lema huyu huyu!.
 
Lema ajue kucheza na psychology za wengi, asilazimishe kile anachokiamini yeye ndio kiaminiwe na wote wengine, achague maneno.
Ushauri mzuri huo,Mungu akubariki maisha siyo vitisho,maisha siyo dharau,na hakuna mwanadamu aliyekamilika,Lema anapowaambia watu wanaomkosoa kuwa file lako lipo huo ni udikteta kam,a ule wa Magufuri,No right to speak unless you have power.
 
Midomo michafu ya Tundu Lissu na Godbless Lema ikoje? Hebu thibitisha..

Lakini Kwa hakika kabisa, kama huwa humwelewi na ku - admire Tundu Lissu Kila anapojenga hoja zake, basi wewe 1000 digits ni mjinga kabisa.!

Tatizo lenu mmezoea kusikiliza politicians waongo waongo na wanaopenda kupaka rangi upepo.

Watu kama Tundu Lissu na Godbless Lema walishakataa ujinga huo.

##Kama kitu ni nyeupe, lazima useme ni nyeupe na siyo nyeusi.

##Kama u - bodaboda ni moja ya indicator ya umasikini na umasikini ni LAANA katika jamii, basi sema hivyo na siyo kusema "huo ni magawanyo wa majukumu"

##Sasa kama kuusema ukweli kama ulivyo ni "kutotumia lugha ya hekima na busara" Kwa mtazamo na maoni yako, basi wewe ni mjinga na mnafiki mkubwa usiyestahili kusikilizwa!!
Ndugu unayetukana watu kuwa wajinga na wapumbavu.Ebu tueleze Lema alishaacha ujambaz wa kupora na kuiba magari?
 
Kuna kitu hakika sawa na kinaenda kutolewa ufafanuzi muda mfupi ujao.
View attachment 2540448
Nadhani hii haikuwepo katika ratiba yake ila ndugu Godbless Lema anaitisha mkutano wa hadhara wa dharula, ngoja tuone na mlio karibu msisite kutoa updates.

Kupitia ukurasa wake wa tweeter Lema amesema;

"Kamanda John Heche,Peter Msigwa , John Pambalu,Prof Lwaitama,Ezekiel Wenje na Viongozi wengine tutakuwa na mkutano wa hadhara ktk viwanja vya soko kuu leo kuanzia Saa 8 Mchana."

Lema angetulia kwanza. Halafu chama kisikae kimya kwenye matamko controversial ya Lema.
 
Tatizo la Lema ni kama la Lisu.

Kwa Sasa Mpinzani Bora kabisa ni John Heche .
Huyu jamaa anatoa hoja zenye mashiko sana . Anaeleweka na anatoa ufafanuzi vizuri sana. Nadhani amaedhihirisha kuwa Walimu wakiingia kwenye siasa wanakua na uwezo mzuri sana wa kueleza mambo Kwa ufasaha.

Lema na Lisu ni wanasiasa na Wanaharakati wasiao na woga kabisa lakini tatizo lao ni kuwa ni midomo michafu isiyao na simile.

Lema na Lisu wakidhibiti midomo yao na kauli zao ni kati ya wanasiasa walenye ushawishi mkubwa sana. Lakini Tatizo lao ni midomo yao. Tanzania na Afrika tuna Mila zetu na tunapaswa kuzilinda. Sio busara kuwatukana watu au kuwasema Kwa watu Kwa lugha zisizo na staha.

Mfano Boda boda hawana makosa kufanya kazi hiyo Bali ni makosa ya watawala kushindwa kutumia vizuri vichwa vyao kuleta ajira Kwa wingi Kwa watanzania . Sasa kuwakashifu wahanga Kwa kosa la wengine sio jambo la busara.

Lema atoe ufafanuzi Kisha aombe radhi kuwa hakueleweka vizuri na hakuwa na Nia mbaya.

Akumbuke hata Geo Devi ni wakala wa CCM Kwa ajili ya kulinda maslahi yake ya kuvuna pesa Kwa watu wa Arusha. Yaani anavuna pesa za watu na anatoa kidogo kuwahadaa. Ni mbinu za matapelei na hata wale wauza madawa Maarufu Duniani ndivyo wanavyoishi na jamii isiyo na maarifa juu ya watu wanaojioatia fedha nyingi Kwa kazi zisizozalisha zaidi ya midomo au biashara haramu.

Hata kanisa Katoliki liliwahi kuuza vyeti vya msamaha wa dhambi ili watu waende Mbinguni . Walijipatia fedha Kwa njia haramu na baadae likawa kanisa lililopo mstari wa mbele kutoa misaada kwenye jamii.

Lema awe makini sana wakati wa kutoa hotuba zake. Ajaribu kuchunga ulimi wake sana.

Asipokuelewa basi, Hakuna namna.
 
Back
Top Bottom