Mwanakili90
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 1,568
- 245
Wewe utakua mgonjwa.Ushirikina ni kusema Dawa umepewa na mungu na lazima wewe mwenyewe utoe hiyo dawa ndio watu wapone wakati mungu ndio mponyaji na anaweza kumponya mtu bila ya kunywa hata hiyo dawa. Nadhani nimefafanua hoja ya Arafat.