Moyo wa nchi
Member
- Jun 21, 2023
- 81
- 127
Tulitakiwa kushtushwa na mikataba ya Loliondo na Ngorongoro kabla ya huu wa bandari.
Maeneo hayo ameshapewa mwarabu bure kabisa, Masai wamefukuzwa na wanafukuzwa japo walikataa na wanakataa.
Kwa namna serikali hii ilivyo ni lazima kutakuwa na mauaji ya raia ktk maeneo hayo.
Wabunge wa umoja wa ulaya wamezuiwa kufika maeneo hayo na Sasa ni CHADEMA lkn ukweli ni kwamba haruhusiwi kuingia mtu yeyote bila kibali cha mwarabu.
Mh. Lissu usiwe mkorofi hiyo ni nchi ya waarabu ndani ya TANGANYIKA kwa nini upeleke siasa zako kwenye nchi ya waarabu?.
Fuata sheria kaombe kibali Dubai mama alishafungua nchi na kuupiga mwingi.
Soon na dar es salaam itakuwa sehemu ya falme za kiarabu, Hawa watu wameamua hawarudi nyuma.
Tukiendelea na mbinu zile zile zilizoshindwa tumekwisha.
Pia kwa wale wenye kumbukumbu na mwanzo wa mikataba ya kuuzwa loliondo na ngorongoro kipindi cha raisi mwinyi Ili vijana waelewe vizuri hili sakata.
Hakika huyu mama atatumaliza, ninaandika nikiwa na machungu sana.
Maeneo hayo ameshapewa mwarabu bure kabisa, Masai wamefukuzwa na wanafukuzwa japo walikataa na wanakataa.
Kwa namna serikali hii ilivyo ni lazima kutakuwa na mauaji ya raia ktk maeneo hayo.
Wabunge wa umoja wa ulaya wamezuiwa kufika maeneo hayo na Sasa ni CHADEMA lkn ukweli ni kwamba haruhusiwi kuingia mtu yeyote bila kibali cha mwarabu.
Mh. Lissu usiwe mkorofi hiyo ni nchi ya waarabu ndani ya TANGANYIKA kwa nini upeleke siasa zako kwenye nchi ya waarabu?.
Fuata sheria kaombe kibali Dubai mama alishafungua nchi na kuupiga mwingi.
Soon na dar es salaam itakuwa sehemu ya falme za kiarabu, Hawa watu wameamua hawarudi nyuma.
Tukiendelea na mbinu zile zile zilizoshindwa tumekwisha.
Pia kwa wale wenye kumbukumbu na mwanzo wa mikataba ya kuuzwa loliondo na ngorongoro kipindi cha raisi mwinyi Ili vijana waelewe vizuri hili sakata.
Hakika huyu mama atatumaliza, ninaandika nikiwa na machungu sana.