miradibubu
JF-Expert Member
- Sep 21, 2010
- 312
- 84
Nimepewa taarifa tena wakati huu kuwa kuna mkutano wa menejimenti unaendelea mapaka wakuu wa skuli wametakiwa kuhudhuria, pia viongozi wa UDOMASA wameitwa. kimsingi walimu wqameamua na kamwe hawatarudi nyuma