Chuo kikuu cha UDOM College of Education (CoED) hakina maji kwa zaidi ya wiki sasa

encyclopaedia Tanzaree

JF-Expert Member
Sep 10, 2017
513
397
Chuo kikuu cha UDOM College of Education (CoED) hakina maji kwa zaidi ya wiki sasa.

Wanachuo wanateseka na adha ya ukosefu wa maji hivyo kuathiri ufanisi katika ujifunzaji.

Kibaya zaidi hata vijana waliojiajiri kuwasambazia maji wanachuo wamezuiwa kwa sababu ambazo hazijawekwa wazi, kwani maji yanayonunuliwa na uongozi hayakidhi mahitaji.

Uongozi wa chuo unafikiria nini kuhusu vijana hawa hasa wa mwaka wa kwanza waliotoka mikoa mbalimbali kwenda kupata elimu katika chuo kikuu cha Dodoma.

Na kwanini waliojiajiri kutoa huduma ya maji kutokea nje (Wanaouza kwa kutumia tolori) wazuiwe?

Je, lengo la chuo ni wanafunzi watumie mda mwingi kutafuta maji badala ya kuwekeza muda wao kwenye mambo ya kitaaluma.

Hii ni AIBU KUBWA kwa chuo kama hiki kikubwa kukosa maji na pia kukosa hekima kwa kuzuia wanaouza maji kwa tolori kuhudumia wanachuo.
 
Chuo kikuu cha UDOM College of Education (CoED) hakina maji kwa zaidi ya wiki sasa.

Wanachuo wanateseka na adha ya ukosefu wa maji hivyo kuathiri ufanisi katika ujifunzaji.
Kibaya zaidi hata vijana waliojiajiri kuwasambazia maji wanachuo wamezuiwa kwa sababu ambazo hazijawekwa wazi.

Uongozi wa chuo unafikiria nini kuhusu vijana hawa hasa wa mwaka wa kwanza waliotoka mikoa mbalimbali kwenda kupata elimu katika chuo kikuu cha Dodoma.

Na kwanini waliojiajiri kutoa huduma ya maji kutokea nje (Wanaouza kwa kutumia tolori) wazuiwe?

Je, lengo la chuo ni wanafunzi watumie mda mwingi kutafuta maji badala ya kuwekeza muda wao kwenye mambo ya kitaaluma.

Hii ni AIBU KUBWA kwa chuo kama hiki kikubwa kukosa maji na pia kukosa hekima kwa kuzuia wanaouza maji kwa tolori kuhudumia wanachuo.
kikwete kaenda chuo jangwani. Udom ni kame hatari, ardhi mawe mawe tu. Niliapa siwezi enda soma huko, nikabaki zangu mjini.
 
Chuo kikuu cha UDOM College of Education (CoED) hakina maji kwa zaidi ya wiki sasa.

Wanachuo wanateseka na adha ya ukosefu wa maji hivyo kuathiri ufanisi katika ujifunzaji.
Kibaya zaidi hata vijana waliojiajiri kuwasambazia maji wanachuo wamezuiwa kwa sababu ambazo hazijawekwa wazi.

Uongozi wa chuo unafikiria nini kuhusu vijana hawa hasa wa mwaka wa kwanza waliotoka mikoa mbalimbali kwenda kupata elimu katika chuo kikuu cha Dodoma.

Na kwanini waliojiajiri kutoa huduma ya maji kutokea nje (Wanaouza kwa kutumia tolori) wazuiwe?

Je, lengo la chuo ni wanafunzi watumie mda mwingi kutafuta maji badala ya kuwekeza muda wao kwenye mambo ya kitaaluma.

Hii ni AIBU KUBWA kwa chuo kama hiki kikubwa kukosa maji na pia kukosa hekima kwa kuzuia wanaouza maji kwa tolori kuhudumia wanachuo.
Nashukuru mkuu kwa kuanzisha Uzi huu!kuna gharama za kijinga pia kutokana na hii Hali ya Maji mwanafunzi inabidi aende na ndoo,jaba kubwa na pia mwaka wa kwanza wanatakiwa wake huko chuo na ni laki 2na40Maji hakuna,chakula bei kubwa!kila siku mwanafunzi awe na si chini ya elfu sita.Jamani wanateseka wanetu!Hali kama ya Israel na Hamas.Wizara husika ipo,karibu yupo
 
Back
Top Bottom