Migomo Chuo Kikuu cha Dodoma na Maslahi ya Wahadhiri & Wanafunzi

mbona walikaa kimya kama kwelim kuna wasomi while Dowans saga is going on na wanalipwa, never had a UDOM academician any opposses
this, WAGOME bila hivyo chao hamna, na wafanyakazi wanagoma jan 29, mambo hayoooooo, komboooooo
 
Itakuwa ni kichekesho kuwaunga mkono, UDOM !! wasaliti wakubwa hao.

mi nadhani tusiwe na mawazo mgando na kuweka chuki binafsi katika hili, swala la kuunga au kutokuunga mkono linatokana na uwezo wa mtu kufanya uchambuzi yakinifu kuhusiana na maswala mbali mbali.
 
Hili ni fundisho kubwa sana kwamba hakuna system yoyote itakayoweza kusimama imara katika misingi ya uongo. Tujifunze kufanya kazi kama wataalamu na sio kufanya kazi za kufurahisha wana siasa.
 
Ndugu zangu jinsi 2navyofikiria udom kwa nje sivyo kwa ndani kwani wanaoleta mapinduzi ni vijana makini wasio na uwoga katika kudai haki ndivyo walivyofanya wanafunzi mpaka wakatimiziwa haki zao na sasa ni wahaziri wanagoma ili wapate haki yao so kinachotakiwa ni kuwaunga mkono na kufuta kauli ya udom ni CCM.
 
UDOM bwana! Haya tuonyesheni musuli wa kuigomea sirikali. Labda mtatu-convince akina Tomaso.

Mwaka juzi tu mlitususia sisi tuliopanga kudai mafao bora ya kustaafu.
Mkuu ninajibu rahisi sana kwa nini Udom hawakugoma katika kudai mafao bora ya uzeeni. Katika chuo hicho kuna unafiki wa hali ya juu wa senior staff ambao kimsingi wengi ndio wanakwamisha maendeleo ya UDOM, na mbaya zaidi senior staff ndio wenye mgogoro na pensheni kwani hapa UDOM junior staff wote wamesusia PPF wote wako pspf na lapf tu. Hata huu mgomo wa kesho umepewa nguvu kubwa na junior staff ambao ndio wengi zaidi. kimsingi walikuwa wanalipa kisasi kwa usaliti wa senior staff katika kutetea haki zao. Kwa wakati huu hata baadhi ya senior staff wasioishi kwa kutegemea vyeo vya kuteuliwa wanaunga mkono mgomo huu waziwazi. Senior staff wengine walio katika madaraka ninamaanisha nje ya wale watatu wakubwa wanaunga chinichini kwan i hata wao wanajikuta katika wakati mgumu kutimiza wajibu wao
 
Tanzania Tanzania
Nakupenda kwa moyo woteeee
Nchi yangu, Tanzania
Jina lako ni tamu sana

Nilalapo nakuota weweee
Niamkapo ni heri mama weeeee

Tanzania Tanzania
Nakupenda kwa moyo woteeeee
 
Bado mbakaji wa demokrasia (JK) anajivunia kupita juu ya hayo majengo ya UDOM kuangalia ubora wa mandhari yake kwa kutumia helikopta kila akifika Chimwaga?
 
Taarifa zilizonifikia ni kwamba maandalizi yote yamekamilika, mgomo upo palepale siku ya kesho na viongopzi wamewaomba walimu wote kuyaacha magari yao nyumbani na wote wajumuike katika mabasi ya wafanyakazi tayari kujumuika hapo katika ukumbi wa chimwaga. Ama kwa hakika mtoto hatumwi dukani hiyo siku ya kesho
 
Ngoja hiyo kesho ndo tuamini. Na tasisi nyingine nyingi za serikali haya yapo tusipounganisha nguvu na kupinga dhuruma hii inayoendelea tukasubiri wapiganaji kama kina SLAA wapigwe na virungu na kuswekwa mahabusu kwa ajiri yetu TUTAKUFA BILA KELELE KAMA WAFUASI WA KIBWETERE
 
Hawana lolote hao, watapewa individually barua za kuwakumbusha contractual obligations zao, watagoma wachache.

Mark my words.
 
Mpasuajipu ni wakati wako wa kuropoka angali kajipu kako kaduchu na kabichi, kakiiva na kuvimba utanyamaza kimyaaaa! Subiri bili ya umeme january!
Wanagoma nini hao si ndio KIHEREHERE walikuwa wanashabikia CCM?

Wamfuate baba yako Makamba atawasaidia wasituzuge hapa.:A S-confused1:
 
Hao na wanafunzi wao si ndo walikuwa wanampongeza Kikwete? Si ndo hao waliompa digrii ya heshima juzijuzi tu au ni wengine? Si ndo hao walikuwa wanaeleza mafanikio ya UDOM kwa muda mchache kwa mbwembwe na kejeli kubwa ? SIyo ninyi hao hao mnaowabeza vyuo vingine kwenye vyombo vya habari? Leo mnageuka mgome ili nani awaunge mkono?

Well, mna haki ya msingi kudai na kushinikiza malipo yenu. Mkichelewa fedha zote zinaenda kwa DOWANS... mtakaa kwenye foleni hadi 2020!!

Usiwalaumu walimu hawa. Naona wanaumia kwa sababu ya kukosa njia ya kutokea.

Tatizo la UDOM kwa muda mrefu nimelisikia kusababishwa na watu wawili. Prof. Kikula ambaye ni VC pamoja na makamu wake aitwaye Mlacha. Watu hawa siyo wa kweli hata kidogo. Ktk level hiyo ya elimu yao bado ni wanafiki na wanafiki. Nadhani kumbe ndo maana Banana wa Zimabwe aliweza kulawiti mlinzi wake. Kwa nini uwe na unafiki ktk ngazi kubwa kiasi hicho.

Watu hawa wamekifanya chuo kama private enterprise. Nasikia sasa wanajisifia kwa kujenga nyumba binafsi nyingiii mjini Dodoma kwa kutumia raslimali za chuo. Ukisiliza mambo ya ndugu hawa huwezi kuelewa udom inakwenda wapi. Yapo meengi sana hata upuuzi ktk kudahili wanafunzi. Mbaya zaidi huyu mtu aitwaye Mlacha hana historuia nzuri kabisa kule UD alikotoka.

Ni ajabu mtu kama huyu aliwezaje kuteuliwa na Rais kuwa makamu wa mkuu wa chuo kama udom ambacho ndo kilikuwa kinaanza. Sababu kubwa nasikia kuna ushemeji na mkuu wa nchi, basi!

Sasa kama Mlacha alishindikana pale TUKI udsm, anawezaje kuwa makamu wa mkuu wa chuo udom!

Nadhani hata hiyo PhD kwa kikwete ni kama rushwa ili waendelee kuishi kwa mtindo huo.
 
Salaam mpingo mkavu. Inaelekea kweli umekauka hadi wadudu wameanza kukupekecha. Nafkr utakubaliana na kuwa wewe ni conservative yaani una mawazo mgando! Sikubaliani nawe kuwa eti tanzania kuna chuo kimoja tu chenye critical thinker, mimi nimesoma kwa miaka 4 ktk chuo unachodai ni bora sioni tofauti yeyote na vyuo vingne Tz.
Nawapongeza wanaJF waliotambua kuwa ccm si lolote Udom. Kilichobaki Udom kama kumbukumbu ya ccm ni jengo la Chimwaga tu. Nafkr hakuna mtanzania yeyote mwenye akili timamu ambae yuko tayari kushabikia unyonyaji, ufsadi na uonevu unaofanywa na mafsadi.
Usiongee utadhani wewe peke yako unafahamu mazingira ya vyuo vyote. Inaelekea haujui hata taratibu za mgomo, kimsingi hatua zote za awali zimekamilika ikiwepo na wanajumuiya kutoa azimio la kugoma kuanzia kesho asubuhi . subiri ujionee mwenyewe
 
Hao na wanafunzi wao si ndo walikuwa wanampongeza Kikwete? Si ndo hao waliompa digrii ya heshima juzijuzi tu au ni wengine? Si ndo hao walikuwa wanaeleza mafanikio ya UDOM kwa muda mchache kwa mbwembwe na kejeli kubwa ? SIyo ninyi hao hao mnaowabeza vyuo vingine kwenye vyombo vya habari? Leo mnageuka mgome ili nani awaunge mkono?

Well, mna haki ya msingi kudai na kushinikiza malipo yenu. Mkichelewa fedha zote zinaenda kwa DOWANS... mtakaa kwenye foleni hadi 2020!!


WEWE HUNA DATA UNAROPOKA TU KWANZA WANAOGOMA NI WALIMU SIO WANAFUNZI HALAFU WEWE UNAONGELEA HABARI ZA WANAFUNZI. PIli aliyekwambia wanafunzi wanatoa digrii ya heshima ni nani???? WEWE upeo wako wa kufikiri ni finyu wala hustahili kujiita great thinker. Walimu siku zote umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu. TOGETHER YOU CAN.
 
Usiku huu kule Ng'ong'ona kwa wanafunzi wanaochukulia EDUCATION wameanzisha mgomo kwa kuwatoa wanafunzi wenzao vyumbani kujiunga ktk mgomo tatizo likiwa ni kutopewa hela ya mikopo,field na matatizo mengine. Na raisi wao tayari ameshasaini kuwepo kwa mgomo.
 
kwa nini mnagoma usiku ? laleni kesho ndio mlianzishe au mnafikiri kuwa askari wote wapo arusha sasa hivi?
 
Habari nyingine mbaya kabisa kwa utawala wanafunzi chuo cha elimu wao wameanza mgomo usiku huu. kesho sijui itakuwaje
 
Back
Top Bottom