Yona F. Maro
R I P
- Nov 2, 2006
- 4,202
- 218
Katika ule mwendelezo wa Serikali kupinga wanafunzi wa Vyuo vikuu hasa vya umma kutumia haki yao ya kidemokrasia kudai haki zao, leo Polisi wa mkoani hapa wametembeza kichapo cha "ukweli" kwa wanachuo wa UDOM ambao wamegoma wakitaka walipwe stahili zao za mikopo ambazo zimewafanya baadhi yao waishi maisha magumu na ya kutia aibu hasa kwa wasichana