Pinokyo Jujuman
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 552
- 104
pole mbunge wangu ...lakini hivi kwanini mnapenda kuzurura bana..hivi hamna ipad muwe mnakaa mnasoma vitu na kuplot stratergies za kutatua matatizo ya wananchi ...aghhh
Duh we jamaa ni noumer sa hadi msibani angeshiriki kupitia ipad?