Mkuu baba yake Mh Selasini ni mzima. Yule jamaa aliyeleta zile habari za kizushi sijui aliota nini! Binaadam ndivyo tulivyo.pole sana wanafamilia,ila nakumbuka kipindi cha hukumu ya lema kuna mtu alileta taarifa hapa jf kwmba baba yk mh selathisini ambaye alikuwa diwani wa ccm kipindi cha nyuma,napata utata alitoka kumtoa baba yake mdogo/mkubwa au mzazi? Maana nimeshtuka kuona kwenye post kwmb yy na baba yk wamenusurika. Tuendelee kumwombea aweze kupona mapema na kurudi kwny majukumu yake ya kujenga taifa.