Expedito Mduda
JF-Expert Member
- Sep 22, 2009
- 522
- 239
Mungu amponye haraka na amfariji kwa msiba wa mama yake
pole mbunge wangu ...lakini hivi kwanini mnapenda kuzurura bana..hivi hamna ipad muwe mnakaa mnasoma vitu na kuplot stratergies za kutatua matatizo ya wananchi ...aghhh
Mkuu EMT mke wa mh.tayari amekimbizwa KCMC. Kuna mtu tumemtuma kucheck huko KCMC kujua hali yake ikoje.Ilikuwa mida ya saa moja jioni maeneo ya Boma Ng'ombe ambapo Mh Joseph Selasini wakati akiendesha gari hilo akitokea Arusha, ghafla aliona mwendesha pikipiki wakati akijaribu kumkwepa ndipo gari lake likapinduka.
Watu wengine akiwemo mbunge huyo na mke wake alifahamika kwa jina la Digna Kavishe waliojeruhiwa katika ajali hiyo, wako katika hospitali ya Boma Ng'ombe hali zao zinaendelea vizuri na muda mfupi nao watapelekwa katika hospitali ya KCMC kwa matibabu zaidi.
sijaelewa wewe ndio mhusika yaani mh. Selasini.??
pole mbunge wangu ...lakini hivi kwanini mnapenda kuzurura bana..hivi hamna ipad muwe mnakaa mnasoma vitu na kuplot stratergies za kutatua matatizo ya wananchi ...aghhh
Mbunge wa Rombo, Mhe. Joseph Selasini kapata ajali mbaya sana muda si mrefu.
Ajali hiyo imemtokea akiwa safarini toka Arusha kwenda Rombo na ni eneo la Bomang'ombe mjini.
Watu watatu akiwemo mamake mzazi wamekufa papo hapo.
Mhe. Selasini amepekimbizwa Hospitali ya wilaya ya Hai pale Bomang'ombe; hali yake si nzuri.[/QU
Tu edit hapo kwa "mh selasini ametoka kumtoa baba yake hospitali" ukweli ni kwamba, Mbunge alikua ametoka kwenye mazishi ya Padri mmoja anaitwa Padri Mahoo, na kwenye gari ndio hivyo, mke wake, mama yake, na mama yake na marehem Padri na m baba mmoja ndio wamefariki dunia, na Mh. Mbunge hali yake bado sio nzuri, Tuwaombee wapate kupona na kuipokea misiba hiyo iliyo fungamana....