Jatropha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2009
- 1,151
- 199
Ajiuzulu kwa ajili ya kupandisha Sh. 100? Hapo si sawa, ila kutokana na kauli yake inabidi aombe msamaha kwa wananchi maana yeye si malaika mpaka asijikwae. Halafu kuhusiana na matumizi ya serikali msiangalie tu posho za wabunge (Japo nami silikubali), pia kuna mambo mengi sana kama vile: ongezeko la wanafunzi vyuoni ambao wanahitaji mikopo, kuwepo kwa shule za kata ambapo inabidi wapewe ruzuku, mwezi huu walimu wanaanza kulipwa madai yao ya muda mrefu, kuna baadhi ya miradi ya barabara serikali imeingia gharama baada ya wafadhili kujitoa, n.k. Sometimes tuwe na huruma kwa serikali yetu, sio kila wakati kuiponda.
Wewe unataka tuwe na huruma gani wakati ni wenyewe waliowapangiwa wawekezaji katika migodi kulipa mrahaba wa 3% tu na zingine wawalipe viongozi kama 10%. Mbona nchi ndogo ndogo kama Botswana inaingia ubia wa 50% katika uwekezaji katika migodi yake?
Huruma gani unataka tuwe nayo wakati kiongozi uanaunda serikali kubwa yenye mawaziri lukuki wasio na kazi yoyote. Na hataki kuskia ushauru wa kuunda serikali ndogo ili kupunguza gharama.
Huruma gani wakati mkuu wa nchi anatumia magarii kati ya 20 hadi 40 kila mwisho wa wiki kuzuru miradi yake binafsi huko msoga Bagamoyo. Hizo ghrama za mafuta ya magarai na posho za watumishi zinazotumika kuhudumia miradi binafsi sizingetosha kuziba ongezeko la harama katika hivi vivuko?