Zion Daughter
JF-Expert Member
- Jul 9, 2009
- 8,921
- 4,235
Kweli Wtz kwa namna hii tutaendelea kuwa masikini siku zote.Sasa Magufuli ajiuzuru amekosa nini?kuongeza tshs 100/= Uache kuwaambia mafisadi papa majiuzuru unataka ajiuzuru mtu anayetekeleza majukumu yake.na akishindwa kutimiza muanze kumcheka?kweli aibu kubwa