Magufuli, Jiuzulu kwa hiari yako

Haki

JF-Expert Member
Jan 14, 2009
356
17
Maisha yanazidi kuwa magumu. Gharama za maisha zinapanda kila siku. Maghufuli kaamua kuongezea gharama za maisha kwa WTZ. Serikali inatakiwa ikate matumizi ili kuwa na kuwa na balance budget nzuri kwa nchi.

Leo ktk TZ tunaona vinyume kabisa. Serikali inaonngeza matumizi yao, posho zao. Matokeo yake, Wananchi ndiyo wanatakiwa walipe hizo gharama za matumizi ya kijinga ya serikali. Tunapandishiwa Kodi, Nauli, ili maisha ya Vigogo yaendelee.

Hii siyo society nzuri. Tunaomba Waziri Maghufli awajibike kwa kujiuzulu kwa sababu ya kuendeleza mpango huu wa serikali bila ya manufaa ya Wananchi.

Kwanini WTZ walipishwe gharama kubwa za nauli kufidia matumizi ya kijinga(posho) ya Serikali? Kwa nini tuwalipie ili tubalance budget ya serikali? Kwa nini WTZ? Kwa nini tusikate matumizi?

Nakubali kwamba Maghufuli unatekeleza mpango huu ili uwafurahishe Vigogo wa nchi,ndiyo maana hata Dewji kaamua hadharani kukusuport. Tunakuoma Ujiuzulu; hii ni Kashfa kwa nchi yetu.
 
Hoja ya kumtaka Magufuli haina mshiko kitaifa kwanza binafsi nampongeza kwa kupandisha gharama ya Kivuko, yapo Mambo mengi ambayo yanawagusa watz na yanaongeza ugumu wa maisha si 100 kupanda kwa gharama za umeme na matatizo kibao yanayolikabili taifa letu nilitegemea wananchi wangepinga Hilo na ongezeko la shilingi 100 ambayo imedumu kwa ZAIDI ya miaka kumi na moja gharama za uendeshaji ni kubwa acha aongeze na kikubwa ni kuweka udhibiti mzuri wa kinachokusanywa. Magufuli chapa kazi
 
Hoja ya kumtaka Magufuli haina mshiko kitaifa kwanza binafsi nampongeza kwa kupandisha gharama ya Kivuko, yapo Mambo mengi ambayo yanawagusa watz na yanaongeza ugumu wa maisha si 100 kupanda kwa gharama za umeme na matatizo kibao yanayolikabili taifa letu nilitegemea wananchi wangepinga Hilo na ongezeko la shilingi 100 ambayo imedumu kwa ZAIDI ya miaka kumi na moja gharama za uendeshaji ni kubwa acha aongeze na kikubwa ni kuweka udhibiti mzuri wa kinachokusanywa. Magufuli chapa kazi


Hela zikusanywe ili ziende kulipa Posho za Wabunge na vigogo vya serikali au siyo!!

Tuamkeni jamani. WTZ wake UP.
 
mtoa mada, hata jina la waziri wa ujenzi haujui linaandikwaje

very low

shame !
 
I would wish nauli ya KIVUKO ingepandishwa na kufikia 500/-

Hivi ni Kigamboni pekee yenye wananchi wa kipato cha chini?

Vipi Bunju, Kimara, Gongo la Mboto, Kitunda, e.t.c? Wao wanalipa kiasi gani kufika CBD?


Angalia point inayoiweka. Usijaribu kuangalia mji gani unalipa bei gani. Focus na point ninayoiweka.
 
Utamaduni wa kujiuzuru Tanzania haupo!! hata ukishikwa umehamishia hazina yote chini ya uvungu, wala toa kidogo tulia. Au ibua lingine zito zaidi kuwahamisha watu akili wanasahau haraka.
 
Ajiuzulu kwa ajili ya kupandisha Sh. 100? Hapo si sawa, ila kutokana na kauli yake inabidi aombe msamaha kwa wananchi maana yeye si malaika mpaka asijikwae. Halafu kuhusiana na matumizi ya serikali msiangalie tu posho za wabunge (Japo nami silikubali), pia kuna mambo mengi sana kama vile: ongezeko la wanafunzi vyuoni ambao wanahitaji mikopo, kuwepo kwa shule za kata ambapo inabidi wapewe ruzuku, mwezi huu walimu wanaanza kulipwa madai yao ya muda mrefu, kuna baadhi ya miradi ya barabara serikali imeingia gharama baada ya wafadhili kujitoa, n.k. Sometimes tuwe na huruma kwa serikali yetu, sio kila wakati kuiponda.
 
Maisha yanazidi kuwa magumu. Gharama za maisha zinapanda kila siku. Maghufuli kaamua kuongezea gharama za maisha kwa WTZ. Serikali inatakiwa ikate matumizi ili kuwa na kuwa na balance budget nzuri kwa nchi.

Leo ktk TZ tunaona vinyume kabisa. Serikali inaonngeza matumizi yao, posho zao. Matokeo yake, Wananchi ndiyo wanatakiwa walipe hizo gharama za matumizi ya kijinga ya serikali. Tunapandishiwa Kodi, Nauli, ili maisha ya Vigogo yaendelee.

Hii siyo society nzuri. Tunaomba Waziri Maghufli awajibike kwa kujiuzulu kwa sababu ya kuendeleza mpango huu wa serikali bila ya manufaa ya Wananchi.

Kwanini WTZ walipishwe gharama kubwa za nauli kufidia matumizi ya kijinga(posho) ya Serikali? Kwa nini tuwalipie ili tubalance budget ya serikali? Kwa nini WTZ? Kwa nini tusikate matumizi?

Nakubali kwamba Maghufuli unatekeleza mpango huu ili uwafurahishe Vigogo wa nchi,ndiyo maana hata Dewji kaamua hadharani kukusuport. Tunakuoma Ujiuzulu; hii ni Kashfa kwa nchi yetu.

Mkuu naona tunasahau kuwa mjenga nchi ni mwananchi mwenyewe.hakuna pa kutoa pesa za kuendesha shughuli za serikali zaidi ya kwa wananchi wenyewe..suala la maisha magumu muulizeni JK.Kwanini hatutumii ipasavyo rasilimali zetu nyingi tulizonazo kuongeza uzalishaji na hatimaye tuweze kuuza nje vya kutosha na kupunguza ugumu wetu wa maisha!??hii ardhi tuliyonayo ingepewa serikali ya dubai Tanzania ingekuwa taifa tajiri kuliko yote afrika mara..kwanini hatujifunzi??
 
Maisha yanazidi kuwa magumu. Gharama za maisha zinapanda kila siku. Maghufuli kaamua kuongezea gharama za maisha kwa WTZ. Serikali inatakiwa ikate matumizi ili kuwa na kuwa na balance budget nzuri kwa nchi.

Leo ktk TZ tunaona vinyume kabisa. Serikali inaonngeza matumizi yao, posho zao. Matokeo yake, Wananchi ndiyo wanatakiwa walipe hizo gharama za matumizi ya kijinga ya serikali. Tunapandishiwa Kodi, Nauli, ili maisha ya Vigogo yaendelee.

Hii siyo society nzuri. Tunaomba Waziri Maghufli awajibike kwa kujiuzulu kwa sababu ya kuendeleza mpango huu wa serikali bila ya manufaa ya Wananchi.

Kwanini WTZ walipishwe gharama kubwa za nauli kufidia matumizi ya kijinga(posho) ya Serikali? Kwa nini tuwalipie ili tubalance budget ya serikali? Kwa nini WTZ? Kwa nini tusikate matumizi?

Nakubali kwamba Maghufuli unatekeleza mpango huu ili uwafurahishe Vigogo wa nchi,ndiyo maana hata Dewji kaamua hadharani kukusuport. Tunakuoma Ujiuzulu; hii ni Kashfa kwa nchi yetu.
Sishangilii kuongezwa kwa nauli lakini pia siungi mkono hoja kwamba Maghufuli kujiuzulu eti kwa sababu kaongeza bei za kivuko. Bei ngapi zimeongezeka na hakuna waziri aliyeambiwa ajiuzulu. Bei za mafuta zinaonmgezeka kila siku hakuna waziri aliyeambiwa ajiuzulu, bei za vyakula na sukari zinaongezeka kila siku lakini hatujasema waziri ajiuzulu. Hivi kati ya kupanda kwa bei ya vyakula/sukari na kupanda kwa bei ya kivuko ni bei ipi inawaumiza wa Watanzania?

Naanza kuona muandamo wa Maghufuli wenye vimelea vya kisiasa!!
 
Hivi Magufuli ajiuzulu kwa ongezeko la mia na je Ngeleja na Omar wajiuzulu watakapopandisha gharama ya umeme na nauli ya treni? Je na spika naye na wabunge wake kwa kupandisha posho wajiuzulu ? Magufuli komaa wala usiombe radhi
 
Maisha yanazidi kuwa magumu. Gharama za maisha zinapanda kila siku. Maghufuli kaamua kuongezea gharama za maisha kwa WTZ. Serikali inatakiwa ikate matumizi ili kuwa na kuwa na balance budget nzuri kwa nchi.

Leo ktk TZ tunaona vinyume kabisa. Serikali inaonngeza matumizi yao, posho zao. Matokeo yake, Wananchi ndiyo wanatakiwa walipe hizo gharama za matumizi ya kijinga ya serikali. Tunapandishiwa Kodi, Nauli, ili maisha ya Vigogo yaendelee.

Hii siyo society nzuri. Tunaomba Waziri Maghufli awajibike kwa kujiuzulu kwa sababu ya kuendeleza mpango huu wa serikali bila ya manufaa ya Wananchi.

Kwanini WTZ walipishwe gharama kubwa za nauli kufidia matumizi ya kijinga(posho) ya Serikali? Kwa nini tuwalipie ili tubalance budget ya serikali? Kwa nini WTZ? Kwa nini tusikate matumizi?

Nakubali kwamba Maghufuli unatekeleza mpango huu ili uwafurahishe Vigogo wa nchi,ndiyo maana hata Dewji kaamua hadharani kukusuport. Tunakuoma Ujiuzulu; hii ni Kashfa kwa nchi yetu.

Unapoteza muda bure wa kulalamika maghufuli ajiuzuru wakati mkuu wa nchi anafurahia kupanda kwa nauli ili apate pesa za kufanyia matanuzi. Mbona Pinda hajasema chochote. Mbona mkuu wa nchi amekaa kimya. Mwacheni maghufuri yeye ametumwa kutekeleza.
 
du! hivi ni kweli jamaa alisema shilingi mia tu mnalalamika wakati hainunui hata kondom ama masikio yangu yamesikia vibaya.

halafu watu mnaangalia tu shilingi mia mbona hamuongelea kupanda kwa nauli za Maguta, mikokoteni na magari ambayo kwa kiasi kikubwa ndo yatakayoleta maisha magumu kwa sababu kila bidhaa inayoingizwa kigamboni kutoka kariakoo inabebwa na vyombo hivyo.
 
I would wish nauli ya KIVUKO ingepandishwa na kufikia 500/-

Hivi ni Kigamboni pekee yenye wananchi wa kipato cha chini?

Vipi Bunju, Kimara, Gongo la Mboto, Kitunda, e.t.c? Wao wanalipa kiasi gani kufika CBD?
message sent.
 
Kivuko kina gharama za uendeshaji n.k nani abebe mzigo wa kukigharamia kama si mtumiaji ?
 
Hoja ya kumtaka Magufuli haina mshiko kitaifa kwanza binafsi nampongeza kwa kupandisha gharama ya Kivuko, yapo Mambo mengi ambayo yanawagusa watz na yanaongeza ugumu wa maisha si 100 kupanda kwa gharama za umeme na matatizo kibao yanayolikabili taifa letu nilitegemea wananchi wangepinga Hilo na ongezeko la shilingi 100 ambayo imedumu kwa ZAIDI ya miaka kumi na moja gharama za uendeshaji ni kubwa acha aongeze na kikubwa ni kuweka udhibiti mzuri wa kinachokusanywa. Magufuli chapa kazi

Kama nchi kma Kenya ambayo haina madini na raslimali kama Tanzania inaweza kuweka vivuko vya bure huko Mombasa na kwingineko ni kwanini Dr Magufuli apandishe bei ya hata hicho kidogo kinacholipwa na watanzania ambao nchi yao imejaaliwa madini kibao na raslimali lukuki?
 
I would wish nauli ya KIVUKO ingepandishwa na kufikia 500/-

Hivi ni Kigamboni pekee yenye wananchi wa kipato cha chini?

Vipi Bunju, Kimara, Gongo la Mboto, Kitunda, e.t.c? Wao wanalipa kiasi gani kufika CBD?

Hii inaonyesha ni jinsi gani haufahamua hata jiografia ya jiji hili achi mbali ya nchi yako. Nani kakuambi kuwa wakazi wote wa Kigamboni hutumia usafiri wa kivuko kufika makwao? webgi baada ya kuvuko kwa pantoni hutumia mabasi ya daladala, pikipiki na teksi kufika katika vitongji vyo mbali mbali.

Je hao wakazi wa maeneo uliyoyataja hulip kiasi gani kuvua madaraja yaliyojengwa katika abarabara za huko? Kama hawalipi kitu chochote basi na wakazi wa Kigamboni hawastahili kulipa chochote katika vivuko kama ilivyo Kenya. nchi amabyo haiana madini na raslimali kama Tanzania.
 
Hivi hawa wabunge wanaopinga ongezeko la nauli ya kivuko kwa kudai eti wana huruma na wapiga kura wao mbona wanapokea ongezeko la posho pasipo kuwa na huruma kwa wananchi wao na pesa hizo wanazopokea ndio zingeweza kufanya shughuli nyingine za maendeleo. Wanatakiwa watoe boriti machoni mwao kabla ya kutoa kibanzi machoni kwa wengine
 
Maisha yanazidi kuwa magumu. Gharama za maisha zinapanda kila siku. Maghufuli kaamua kuongezea gharama za maisha kwa WTZ. Serikali inatakiwa ikate matumizi ili kuwa na kuwa na balance budget nzuri kwa nchi.

Leo ktk TZ tunaona vinyume kabisa. Serikali inaonngeza matumizi yao, posho zao. Matokeo yake, Wananchi ndiyo wanatakiwa walipe hizo gharama za matumizi ya kijinga ya serikali. Tunapandishiwa Kodi, Nauli, ili maisha ya Vigogo yaendelee.

Hii siyo society nzuri. Tunaomba Waziri Maghufli awajibike kwa kujiuzulu kwa sababu ya kuendeleza mpango huu wa serikali bila ya manufaa ya Wananchi.

Kwanini WTZ walipishwe gharama kubwa za nauli kufidia matumizi ya kijinga(posho) ya Serikali? Kwa nini tuwalipie ili tubalance budget ya serikali? Kwa nini WTZ? Kwa nini tusikate matumizi?

Nakubali kwamba Maghufuli unatekeleza mpango huu ili uwafurahishe Vigogo wa nchi,ndiyo maana hata Dewji kaamua hadharani kukusuport. Tunakuoma Ujiuzulu; hii ni Kashfa kwa nchi yetu.


Hana sababu yoyote ya maana ya kujiuzulu. wa kujiuzulu wenye serikali yatu huwaoni? Nadhani kwa mawazo yako ulipoanzisha thread hii, ungefurahi zaidi KUSIKIA WALE WALIOACHA WATU WAKAJENGA MABONDENI WAMEPANDISHWA VYEO. MBONA hujasema wale wanaoacha bei za mafuta kupanda kila siku, na wanaoshindwa kudihibiti uchumi wa nchi wajiuzuru?

Amefanya kazi yake inavyotakiwa. hana sababu yoyote ya kujiuzulu.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom