Precious Diamond
JF-Expert Member
- Jun 9, 2023
- 397
- 993
Chalamila asema ukimsikiliza Dr. Janabi anasema ulaji wa sukari nyingi unasababisha maradhi mengi, kwahiyo wakati huu ambako sukari imeadimika tuachane nayo kabisa ili usiweze kupata matatizo ya afya hapo baadaye.
Kwahiyo serikali imeshindwa kabisa kutatua changamoto hii ya upatikaji wa sukari sasa wanatafuta 'justification' ya ukosefu huo?
Bashe ilibidi uwajibike kwa kushindwa kutatua hili hadi hali imekuwa mbaya hivi.
Pamoja na haya yote bado viongozi mnakula kwa kama zenu na hutasikia posho za wabunge zimepungua, ama wamechukua 'initiatives' za kubana matumizi ili kupunguza makali haya kwa wananchi.
Bure kabisa!
Kwahiyo serikali imeshindwa kabisa kutatua changamoto hii ya upatikaji wa sukari sasa wanatafuta 'justification' ya ukosefu huo?
Bashe ilibidi uwajibike kwa kushindwa kutatua hili hadi hali imekuwa mbaya hivi.
Pamoja na haya yote bado viongozi mnakula kwa kama zenu na hutasikia posho za wabunge zimepungua, ama wamechukua 'initiatives' za kubana matumizi ili kupunguza makali haya kwa wananchi.
Bure kabisa!