'Magari ya Makonda' yakwama kukarabatiwa, mwenyewe agoma kutoa ushirikiano

Hakuna wa kuigomea CCM ila wanaweza kuwepo wa kumgomea aliyekuwa akiyatumia maana alikuwa akiwazingua wengi huko Chamani !!
Lakini ngoja Tusubiri tuone πŸ™πŸ™ !
Hao wakina nani wana jaeuri hiyo? Mbapoteza muda hakuna wa kuhoji wala kuieajibisha CCM, akijaribu amepoteza kazi huyo
 
Unakaribia mwezi mmoja sasa tangu msafara Ndugu Paul Makonda, Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa, upate ajali kule Sululu, Masasi mkoani Mtwara. Ajali hiyo iliyohusisha magari yapatayo 10, ilitokea tarehe 11 mwezi uliopita na kusababisha uharibifu wa magari kadhaa yakiwamo ya serikali.

Katika kile kinachosemwa kama kiburi na jeuri ya kimadaraka chamani, Makonda amegoma kutoa ushirikiano kufanikisha marekebisho ya magari hayo yaliyohifadhiwa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA). Ushikirikiano utakiwao ni ripoti ya mkuu wa msafara juu ya ajali hiyo ambayo hadi sasa haijatolewa.

Makonda amewaambia maafisa wa kichama na kiserikali kuwa wakitaka kujua lolote wakakiulize chama kwakuwa ndicho kilichoruhusu na kuwezesha ziara yake mikoani-ikiwemo hiyo ailiyokuwa akitokea mkoani Ruvuma. Mkwamo wa matengenezo hasa unazikumba gari za serikali ambazo huhitaji ripoti kamilifu ili ziweze kutengenezwa.

Idara ambazo zinamiliki magari hayo ya serikali zilizopata ajali hiyo zinawataka maafisa wake na madereva wao waseme kwanini walikuwepo kwenye msafara huo wa kichama; hoja ambayo inapaswa kujibiwa na Makonda aliyegoma kufanya hivyo. Ripoti haijatolewa na magari hayajashughulikiwa.

Makonda, chama ni nani ili akaulizwe hata ajali yako ya Masasi?

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Sombetini, Arusha)
Hakuna ofisa wa TEMESA anaeweza kuhoji hilo kwa usalama wa ajira yake
 
Sentensi yako ya Kwanza inaonesha wewe ndio Mbumbumbu Humjui Vuta Nkuvute??

Vijana muache kuvamia nyuzi zenye uwezo zaidi yenu
Usikalili ndugu, kumjua kwako Vuta nikuvute haimaanishi kuwa kila atakachokileta jukwaani hapa kiko sahihi, Pamoja na weledi wake wote ikitokea kaleta jambo la uongouongo basi ni halali kwake kupachikwa jina la UMBUMBUMBU, Katika post ya leo hakika jamaa yako anastahili kuitwa MBUMBUMBU, na wala si Kwamba hajui alilolifanya hapa lakini ametanguliza chuki binafsi zilizompofusha macho yake. Hivyo kuitwa MBUMBUMBU ni haki yake katika hili.
 
Unakaribia mwezi mmoja sasa tangu msafara Ndugu Paul Makonda, Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa, upate ajali kule Sululu, Masasi mkoani Mtwara. Ajali hiyo iliyohusisha magari yapatayo 10, ilitokea tarehe 11 mwezi uliopita na kusababisha uharibifu wa magari kadhaa yakiwamo ya serikali.

Katika kile kinachosemwa kama kiburi na jeuri ya kimadaraka chamani, Makonda amegoma kutoa ushirikiano kufanikisha marekebisho ya magari hayo yaliyohifadhiwa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA). Ushikirikiano utakiwao ni ripoti ya mkuu wa msafara juu ya ajali hiyo ambayo hadi sasa haijatolewa.

Makonda amewaambia maafisa wa kichama na kiserikali kuwa wakitaka kujua lolote wakakiulize chama kwakuwa ndicho kilichoruhusu na kuwezesha ziara yake mikoani-ikiwemo hiyo ailiyokuwa akitokea mkoani Ruvuma. Mkwamo wa matengenezo hasa unazikumba gari za serikali ambazo huhitaji ripoti kamilifu ili ziweze kutengenezwa.

Idara ambazo zinamiliki magari hayo ya serikali zilizopata ajali hiyo zinawataka maafisa wake na madereva wao waseme kwanini walikuwepo kwenye msafara huo wa kichama; hoja ambayo inapaswa kujibiwa na Makonda aliyegoma kufanya hivyo. Ripoti haijatolewa na magari hayajashughulikiwa.

Makonda, chama ni nani ili akaulizwe hata ajali yako ya Masasi?

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Sombetini, Arusha)
Mzee Tupatupa, umeanza tena chokochoko!

Bora uchokoe pweza, makonda atakushinda.
 
Unakaribia mwezi mmoja sasa tangu msafara Ndugu Paul Makonda, Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa, upate ajali kule Sululu, Masasi mkoani Mtwara. Ajali hiyo iliyohusisha magari yapatayo 10, ilitokea tarehe 11 mwezi uliopita na kusababisha uharibifu wa magari kadhaa yakiwamo ya serikali.

Katika kile kinachosemwa kama kiburi na jeuri ya kimadaraka chamani, Makonda amegoma kutoa ushirikiano kufanikisha marekebisho ya magari hayo yaliyohifadhiwa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA). Ushikirikiano utakiwao ni ripoti ya mkuu wa msafara juu ya ajali hiyo ambayo hadi sasa haijatolewa.

Makonda amewaambia maafisa wa kichama na kiserikali kuwa wakitaka kujua lolote wakakiulize chama kwakuwa ndicho kilichoruhusu na kuwezesha ziara yake mikoani-ikiwemo hiyo ailiyokuwa akitokea mkoani Ruvuma. Mkwamo wa matengenezo hasa unazikumba gari za serikali ambazo huhitaji ripoti kamilifu ili ziweze kutengenezwa.

Idara ambazo zinamiliki magari hayo ya serikali zilizopata ajali hiyo zinawataka maafisa wake na madereva wao waseme kwanini walikuwepo kwenye msafara huo wa kichama; hoja ambayo inapaswa kujibiwa na Makonda aliyegoma kufanya hivyo. Ripoti haijatolewa na magari hayajashughulikiwa.

Makonda, chama ni nani ili akaulizwe hata ajali yako ya Masasi?

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Sombetini, Arusha)
Uongo!

Sensational journalism.

Nani nchi hii, ndani na nje ya serikali, hajui zile ziara zinafanywa kwa baraka za, na kwa niaba ya, na maagizo ya Rais ? Nani hajui? Kumfurahisha Rais, na kumpigia kampeni Rais Samia, nani hajui ????

Hakuna kiumbe TEMESA au popote serikalini chenye mamlaka, chenye kende, za kulazimisha taratibu zifatwe pale zinapovunjwa na Mkuu wa Nchi. Gari zitatengenezwa!

CCM desperately needs the voice, power and charisma of Paul Christian Makonda.
 
Mleta mada muongo chama hakiwezi jieleza kwa sababu ya magari ya serikali wale waliongozana kwenda kwenye
mkutano kusikiliza kero za wananchi na kuzipa majibu

Kiongozi wa serikali kusikiliza.kero za wananchi ni moja ya majukumu yake
Nyie ndio mlio soma civics halafu mkatoka na sifuri
 
Unataka kutuambia kuna mgogoro wa kiutendaji kati ya CCM na serikali yake?

Kwani ni mara ya kwanza magari ya serikali kutumika kwenye shughuli za chama chenu?

Kama sio mara ya kwanza, kwanini Makonda apate kigugumizi kuwajibu hao wanaomuuliza hayo maswali?

Inawezekana vipi vigogo wa serikalini waingie kwenye hayo magari wazunguke na Makonda, kisha baada ya ajali kutokea waanze kumuuliza Makonda kwanini alitumia hayo magari ya serikali?! wao kwanini walizunguka nae?

Hayo magari yameachwa hapo TEMESA kwa sababu maalum, wanatafuta gap waje kutupiga mbele ya safari, wao watachota pesa za umma wakanunue magari mengine mapya muda wao ukifika.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Aahaaa,dah
 
Uongo!

Sensational journalism.

Nani nchi hii, ndani na nje ya serikali, hajui zile ni ziara zinafanywa kwa baraka za, na niaba ya, na maagizo ya Rais, kumfurahisha Rais, na kumpigia kampeni Rais Samia, nani hajui ????

Hakuna kiumbe TEMESA au popote serikalini chenye mamlaka, chenye kende za kulazimisha taratibu zifatwe pale zinapovunjwa na Mkuu wa Nchi. Gari zitatengemezwa!

CCM desperately needs the voice, power and charisma of Paul Makonda
For it’s survival ??!!
Yes πŸ‘ you’re damn right πŸ’―
It happened once in 2015 elections JPM slogan
Chagua Magufuli !
That slogan saved the day ! πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ™πŸ™πŸ™
 
Unakaribia mwezi mmoja sasa tangu msafara Ndugu Paul Makonda, Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa, upate ajali kule Sululu, Masasi mkoani Mtwara. Ajali hiyo iliyohusisha magari yapatayo 10, ilitokea tarehe 11 mwezi uliopita na kusababisha uharibifu wa magari kadhaa yakiwamo ya serikali.

Katika kile kinachosemwa kama kiburi na jeuri ya kimadaraka chamani, Makonda amegoma kutoa ushirikiano kufanikisha marekebisho ya magari hayo yaliyohifadhiwa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA). Ushikirikiano utakiwao ni ripoti ya mkuu wa msafara juu ya ajali hiyo ambayo hadi sasa haijatolewa.

Makonda amewaambia maafisa wa kichama na kiserikali kuwa wakitaka kujua lolote wakakiulize chama kwakuwa ndicho kilichoruhusu na kuwezesha ziara yake mikoani-ikiwemo hiyo ailiyokuwa akitokea mkoani Ruvuma. Mkwamo wa matengenezo hasa unazikumba gari za serikali ambazo huhitaji ripoti kamilifu ili ziweze kutengenezwa.

Idara ambazo zinamiliki magari hayo ya serikali zilizopata ajali hiyo zinawataka maafisa wake na madereva wao waseme kwanini walikuwepo kwenye msafara huo wa kichama; hoja ambayo inapaswa kujibiwa na Makonda aliyegoma kufanya hivyo. Ripoti haijatolewa na magari hayajashughulikiwa.

Makonda, chama ni nani ili akaulizwe hata ajali yako ya Masasi?

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Sombetini, Arusha)

Unakaribia mwezi mmoja sasa tangu msafara Ndugu Paul Makonda, Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa, upate ajali kule Sululu, Masasi mkoani Mtwara. Ajali hiyo iliyohusisha magari yapatayo 10, ilitokea tarehe 11 mwezi uliopita na kusababisha uharibifu wa magari kadhaa yakiwamo ya serikali.

Katika kile kinachosemwa kama kiburi na jeuri ya kimadaraka chamani, Makonda amegoma kutoa ushirikiano kufanikisha marekebisho ya magari hayo yaliyohifadhiwa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA). Ushikirikiano utakiwao ni ripoti ya mkuu wa msafara juu ya ajali hiyo ambayo hadi sasa haijatolewa.

Makonda amewaambia maafisa wa kichama na kiserikali kuwa wakitaka kujua lolote wakakiulize chama kwakuwa ndicho kilichoruhusu na kuwezesha ziara yake mikoani-ikiwemo hiyo ailiyokuwa akitokea mkoani Ruvuma. Mkwamo wa matengenezo hasa unazikumba gari za serikali ambazo huhitaji ripoti kamilifu ili ziweze kutengenezwa.

Idara ambazo zinamiliki magari hayo ya serikali zilizopata ajali hiyo zinawataka maafisa wake na madereva wao waseme kwanini walikuwepo kwenye msafara huo wa kichama; hoja ambayo inapaswa kujibiwa na Makonda aliyegoma kufanya hivyo. Ripoti haijatolewa na magari hayajashughulikiwa.

Makonda, chama ni nani ili akaulizwe hata ajali yako ya Masasi?

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Sombetini, Arusha)
Mtoa habari inaonekana ww ni kilaza. CCM ni taasisi kubwa. Makonda, alikuwa, kwenye shughuli za chama.Gari za msafara, zikapata,, ajali. Ww unakuja unasema makonda hataki kushughulikia, suala la hizo gari. Ww, ni mjinga. Gari zitashughulikiwa, na, idara, maalum ya chama inayohusika, na magati, logistics za vyombo vya usafiri kwa viongozi. Yaan, Uzi wako umekaa, kimajungu lakin, pia umekaa, kama mtu usiyeelewa kuhusu, logistics za, taasisi. Hili ni tatizo la elimu.Lowasa alisema elimu!! Elimu!!!Pia lazima uelewe Makonda ni Kiongozi mkubwa wa chama sio mwenzako. Ebo!!
 
Yaani mnapanga mpaka magari yatakavyopigwa
Kweli Africa ni shida
Upigaji mpaka unaujua utakuaje na utakamilika lini
Africa oyeee
 
Back
Top Bottom