'Magari ya Makonda' yakwama kukarabatiwa, mwenyewe agoma kutoa ushirikiano

Unakaribia mwezi mmoja sasa tangu msafara Ndugu Paul Makonda, Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa, upate ajali kule Sululu, Masasi mkoani Mtwara. Ajali hiyo iliyohusisha magari yapatayo 10, ilitokea tarehe 11 mwezi uliopita na kusababisha uharibifu wa magari kadhaa yakiwamo ya serikali.

Katika kile kinachosemwa kama kiburi na jeuri ya kimadaraka chamani, Makonda amegoma kutoa ushirikiano kufanikisha marekebisho ya magari hayo yaliyohifadhiwa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA). Ushikirikiano utakiwao ni ripoti ya mkuu wa msafara juu ya ajali hiyo ambayo hadi sasa haijatolewa.

Makonda amewaambia maafisa wa kichama na kiserikali kuwa wakitaka kujua lolote wakakiulize chama kwakuwa ndicho kilichoruhusu na kuwezesha ziara yake mikoani-ikiwemo hiyo ailiyokuwa akitokea mkoani Ruvuma. Mkwamo wa matengenezo hasa unazikumba gari za serikali ambazo huhitaji ripoti kamilifu ili ziweze kutengenezwa.

Idara ambazo zinamiliki magari hayo ya serikali zilizopata ajali hiyo zinawataka maafisa wake na madereva wao waseme kwanini walikuwepo kwenye msafara huo wa kichama; hoja ambayo inapaswa kujibiwa na Makonda aliyegoma kufanya hivyo. Ripoti haijatolewa na magari hayajashughulikiwa.

Makonda, chama ni nani ili akaulizwe hata ajali yako ya Masasi?

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Sombetini, Arusha)
Serikali ianzishe kodi ya dharula ambapo kila mtanzania atatakiwa kulipa sh.10,000/= kupitia bili ya maji kama ifanyavyo kwenye umeme.
 
Unakaribia mwezi mmoja sasa tangu msafara Ndugu Paul Makonda, Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa, upate ajali kule Sululu, Masasi mkoani Mtwara. Ajali hiyo iliyohusisha magari yapatayo 10, ilitokea tarehe 11 mwezi uliopita na kusababisha uharibifu wa magari kadhaa yakiwamo ya serikali.

Katika kile kinachosemwa kama kiburi na jeuri ya kimadaraka chamani, Makonda amegoma kutoa ushirikiano kufanikisha marekebisho ya magari hayo yaliyohifadhiwa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA). Ushikirikiano utakiwao ni ripoti ya mkuu wa msafara juu ya ajali hiyo ambayo hadi sasa haijatolewa.

Makonda amewaambia maafisa wa kichama na kiserikali kuwa wakitaka kujua lolote wakakiulize chama kwakuwa ndicho kilichoruhusu na kuwezesha ziara yake mikoani-ikiwemo hiyo ailiyokuwa akitokea mkoani Ruvuma. Mkwamo wa matengenezo hasa unazikumba gari za serikali ambazo huhitaji ripoti kamilifu ili ziweze kutengenezwa.

Idara ambazo zinamiliki magari hayo ya serikali zilizopata ajali hiyo zinawataka maafisa wake na madereva wao waseme kwanini walikuwepo kwenye msafara huo wa kichama; hoja ambayo inapaswa kujibiwa na Makonda aliyegoma kufanya hivyo. Ripoti haijatolewa na magari hayajashughulikiwa.

Makonda, chama ni nani ili akaulizwe hata ajali yako ya Masasi?

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Sombetini, Arusha)
Makonda sio mjinga!!

Ana intelligence ya kujua kilichojiri katika ajali hiyo!!

Hawezi toa ushirikiano kama ana wasiwasi ilikua planed mission!!

USO wa makonda umekaa kijasusi sio rahisi kama tuwazavyo!!

Ameona ni kama mtego TU huo kwake!!

Mawazo huru ya mlipa kodi asiekwepa!!
 
Makonda amewaambia maafisa wa kichama na kiserikali kuwa wakitaka kujua lolote wakakiulize chama kwakuwa ndicho kilichoruhusu na kuwezesha ziara yake mikoani-ikiwemo hiyo ailiyokuwa akitokea mkoani Ruvuma. Mkwamo wa matengenezo hasa unazikumba gari za serikali ambazo huhitaji ripoti kamilifu ili ziweze kutengenezwa.
Ana invisible power ...alimwambia Rostam aondoke nchini akaishi iliko familia yake
 
Makonda sio mjinga!!

Ana intelligence ya kujua kilichojiri katika ajali hiyo!!

Hawezi toa ushirikiano kama ana wasiwasi ilikua planed mission!!

USO wa makonda umekaa kijasusi sio rahisi kama tuwazavyo!!

Ameona ni kama mtego TU huo kwake!!

Mawazo huru ya mlipa kodi asiekwepa!!
Planned mission?!
Uso wa kijasusi ?!
๐Ÿ˜‚๐Ÿ™
Ngoja tuone hii movie itaishaje !!
 
Kwani hayo magari hayana Bima?
Magari ya serikali yanakuwa na Bima?
Hapa ni wazi chama cha mapinduzi ndio wabadhilifu wa mali za serikali na ndio chanzo cha umasikini utokanao na matumizi mabaya ya mali za umma.
Halafu bila aibu huyo huyo Makonda wa CCM ndio anaueleza umma kuwa maofisa wa serikali ya CCM ndio wanaongoza kwa dhuluma dhidi ya wananchi, kukosa uwajibikaji, wizi na ufisadi.
Na kuwa Rais (mwenyekiti wa CCM ) Sasa atakuwa anasikiliza kero za wananchi mmojammoja Ikulu!
Halafu hapo bado kuna watu wanasema "mitano tena"?
Mitano my foot!

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom