Uzembe mkubwa na kutowajibika kwa wananchi ndio chama cha mapinduzi CCM. Tumeona magari ya kifahari angalau 13 yakiteketea siku moja tu ya jana. Haya magari ya serikali yanatumika kwenye msafara wa CCM, nani kuruhusu hilo?
Billioni zaidi ya 3 zilizoteketea katika ajali ya kizembe ya Makonda na CCM zingeweza kujenga mradi mkubwa wa maji katika wilaya nzima ya Tandahimba ambapo maji ya bomba yanaonekana ni luxury.
Rais Samia na CCM mnawajibika kwa upotevu huu wa fedha za maskini!
Billioni zaidi ya 3 zilizoteketea katika ajali ya kizembe ya Makonda na CCM zingeweza kujenga mradi mkubwa wa maji katika wilaya nzima ya Tandahimba ambapo maji ya bomba yanaonekana ni luxury.
Rais Samia na CCM mnawajibika kwa upotevu huu wa fedha za maskini!