Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,801
- 71,224
Tunataka uwazi na hatutaki longolongo. Magari 13 yamepata ajali katika msafara wa Makonda huko Masasi.
1. Wamiliki wa hayo magari ni nani? Maana kuna taarifa zisizo rasmi kuwa yapo magari ya serikali ambayo yamebandikwa namba za bandia ili yasijulikane.
2. Kubandika namba za bandia kwenye gari na kuliingiza barabarani ni kosa la usalama barabarani jee wamechukua hatua gani?
3. Kama kuna magari ya serikali, jee gharama za matengenezo zitabebwa na nani?
1. Wamiliki wa hayo magari ni nani? Maana kuna taarifa zisizo rasmi kuwa yapo magari ya serikali ambayo yamebandikwa namba za bandia ili yasijulikane.
2. Kubandika namba za bandia kwenye gari na kuliingiza barabarani ni kosa la usalama barabarani jee wamechukua hatua gani?
3. Kama kuna magari ya serikali, jee gharama za matengenezo zitabebwa na nani?