Msafara wa Makonda wapata ajali

Frank Wanjiru

JF-Expert Member
Apr 12, 2012
21,838
38,729
Msafara wa Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM, Itikadi na Uenezi, Paul Makonda umepata ajali leo Februari 11, 2024 katika eneo la Sululu, Halmashauri ya Wilaya ya Masasi, mkoani Mtwara.

Katika ajali hiyo, magari 13 yaligongana na kusababisha majeruhi kadhaa wakiwepo Mbunge wa Jimbo la Tandahimba, Katani Ahmed Katani na Katibu Tawala Mkoa wa Mtwara, Bahati Geuza.


FB_IMG_17076594993196709.jpg
 
Msafara wa Mwenezi wa CCM Komredi Makonda umepata.ajali akiwa njiani kuelekea DSM msibani kwa Waziri mkuu mstaafu

Jumla ya magari 13 yamegongana

Ajali imetokea huko suluhu Masasi mkoani Mtwara

====

Msafara wa Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM, Itikadi na Uenezi, Paul Makonda umepata ajali leo Februari 11, 2024 katika eneo la Sululu, Halmashauri ya Wilaya ya Masasi, mkoani Mtwara.

Katika ajali hiyo, magari 13 yaligongana na kusababisha majeruhi kadhaa wakiwepo Mbunge wa Jimbo la Tandahimba, Katani Ahmed Katani na Katibu Tawala Mkoa wa Mtwara, Bahati Geuza.

Screenshot 2024-02-11 170009.png
Screenshot 2024-02-11 165958.png
Screenshot 2024-02-11 165943.png

Source: Azam Tv
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom