Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
Hivi bila ya mgomo wagonjwa walikuwa hawaathiriki na huduma mbovu au maisha duni ya madaktari? Hivi wagonjwa wanakuwaje salama au nafuu wakati madaktari wana manung'uniko na malalamiko ya msingi? Nawaunga mkono kwani salama yao ni salama ya wagonjwa. Tukitaka huduma nzuri toka mahospitali yetu tupiganie maslahi yao.