Tetesi: Kuna mashaka Bandarini. Serikali itoe tamko ya kinachoendelea ili kama yanayoripotiwa ni tetesi yasilete taharuki

Msanii

Platinum Member
Jul 4, 2007
22,606
29,755
Nimepitia mtandao wa X na kukuta mjadala kwenye kurasa wa Martin Maranja M asese almaarufu MMM kuhusu DP World kusitisha mikataba ya wafanyakazi ili kuleta wafanyakazi wao.

Screenshot_20240303_221658_X.jpg


Screenshot_20240303_221802_X.jpg


Serikali ambayo ni sehemu ya huu mkataba uliopigiwa kelele na wananchi, itoe maelezo kukanusha ama kufafanua kinachoendelea Bandarini kwa sasa.

Pia, soma: Hakuna Mgomo katika bandari ya Dar Es Salaam
 
Nimepitia mtandao wa X na kukuta mjadala kwenye kurasa wa Martin Maranja M asese almaarufu MMM kuhusu DP World kusitisha mikataba ya wafanyakazi ili kuleta wafanyakazi wao.

View attachment 2923488

View attachment 2923489

Serikali ambayo ni sehemu ya huu mkataba uliopigiwa kelele na wananchi, itoe maelezo kukanusha ama kufafanua kinachoendelea Bandarini kwa sasa.
Kwa ule mkataba DP world ndio anaamua afanye kazi na nani na wapi ana haki ya kuwafukuza wafanyakazi wote na kutafuta wengine….hao walioletwa na serikali..watafutiwe pakufanya kazi pengine hata kwenye mashamba ya mpunga kilombero au kiwanda cha sukari kile cha NSSF…….
Dp World hoyeeeeeeeeee
 
Dp weldi wameona kufanya kazi na mtanzania kwenye management ni mzigo, watz tunajua uwezo wetu na ufanisi wetu...UKO CHINI, yoyote anayetaka maximum output ni ngumu sana kuvumilia kufanya kazi na sisi. RAZIMA TUSEME UKWERI!!
 
Kwa ule mkataba DP world ndio anaamua afanye kazi na nani na wapi ana haki ya kuwafukuza wafanyakazi wote na kutafuta wengine….hao walioletwa na serikali..watafutiwe pakufanya kazi pengine hata kwenye mashamba ya mpunga kilombero au kiwanda cha sukari kile cha NSSF…….
Dp World hoyeeeeeeeeee
Watu hawakupinga DP World bali walipinga Mkataba, lakini swala likawa la kidini kwa vile DP world ni ya waarabu. Sasa acha sheria ya mkataba ichukue mkondo wake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom