Hii nchi bado ina rule of law ila watu wachache ambao wana maslahi binafsi wanashindwa kufata na kusimamia sheria kwa personal benefits zao.
Tunaomba Waziri Mkuu Majaliwa, mtumishi wa watu uende Arusha ukamalize mgomo ulioanza tarehe 14/8 na ambao utaendelea bila kikomo hadi madereva wa daladala wasikilizwe na kutatuliwa kero zao, kitu ambacho serikali ya mkoa imeshindwa hadi hivi sasa.
Inaumiza sana kuona Mgomo wa soko la kariakoo ulitatuliwa kwa haraka sana ila kadha ya mgomo wa daladala Arusha inaachwa bila utatuzi na mbunge Gambo yupo, mkuu wa mkoa yupo, mkuu wa wilaya yupo na wananchi bado hawaskilizwi, hizi double standards ni mpaka lini..?
Tunaomba tu ufike Mh. Majaliwa, pengine sasa labda mkoa umewashinda viongozi wake.
Pia soma: Arusha: Daladala zagoma tena Arusha, leo Agosti 14, 2023
Tunaomba Waziri Mkuu Majaliwa, mtumishi wa watu uende Arusha ukamalize mgomo ulioanza tarehe 14/8 na ambao utaendelea bila kikomo hadi madereva wa daladala wasikilizwe na kutatuliwa kero zao, kitu ambacho serikali ya mkoa imeshindwa hadi hivi sasa.
Inaumiza sana kuona Mgomo wa soko la kariakoo ulitatuliwa kwa haraka sana ila kadha ya mgomo wa daladala Arusha inaachwa bila utatuzi na mbunge Gambo yupo, mkuu wa mkoa yupo, mkuu wa wilaya yupo na wananchi bado hawaskilizwi, hizi double standards ni mpaka lini..?
Tunaomba tu ufike Mh. Majaliwa, pengine sasa labda mkoa umewashinda viongozi wake.
Pia soma: Arusha: Daladala zagoma tena Arusha, leo Agosti 14, 2023