kwamagombe
Senior Member
- Aug 25, 2009
- 154
- 42
viongozi wa wizara ya afya wangekubali kukutana na ma Dr. na kuwasikiliza hoja zao kisha kuwatolea majibu, yale yanayowezekana yakubalike na yale ambayo kwa sasa hayatekelezeki apewe muda zaidi, ma Dr. ni binadamu nao wanaelewa wanapoelimishwa vizuri kuliko kuwakimbia, mwisho wa siku sisi walala hoi ndiyo tutakuwa victim