Speaker
JF-Expert Member
- Aug 12, 2010
- 6,324
- 2,238
Du hapana kabisa kuwalipa 330,000/= kwa mwezi wakati hatuna hakika watafaulu wote na kuanza kazi ni unafiki. Kazi wajitafutie wenyewe km wengine tulivyofanya na vyumba ni jukumu lao km mabibo pamejaa. Hivi hiyo hela itatoka wapi? kila mwaka wanaongezeka na Watanzania ndio wanaowakopesha kwanini JKT isingerudi ? wajifunze Uzalendo kula kulala kusoma wangevijua iko siku tutashindwa wadhibiti hawa vijana
what is your point?