Horseshoe Arch
JF-Expert Member
- Aug 10, 2009
- 13,139
- 12,284
Nadhani wenye madai UDSM (sio wote waliyasupport esp COET) Walistahili kuomba kiasi chao cha posho wanachopewa kiwe kinaangaliwa mara kwa mara kulingana na fluctuation za maisha na si kujiwekea kiwango fixed km walivyofanya...kwa kua kiwango kinatakiwa kipande ama kushuka kulingana na gharama za maisha kwa wakati!...pili mfumo huu wa kudai kwa kufanya fujo na kuharibu mali ni wa ki- analogue wakati sasa tunakaribia kuiacha digital!