Freestyler
Senior Member
- Dec 15, 2010
- 198
- 9
Gharama za maisha zimepanda jamani...Wakati hii posho inaongezwa (2007/08 nadhani) ilikuwa inatosha kabisa lakini kwa jinsi hali ilivyo sasa naona inatosha kula tu...photocopying? vocha (hata jero tu)? sabuni? rangi ya viatu? dawa ya meno? intaneti? dharura?.....