Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,890
- 6,898
- Thread starter
- #161
Mimi naona tunatoka nje ya pointi. Suala la kulipa au kutolipa deni la Dowans halina uhusiano na kuongeza au kutokuongeza posho za wanafunzi. Yapo maeneo mengi mhimu zaidi ambako fedha hizo zingehitajika zaidi ya kupandisha posho za wanafunzi. Kwa mfano, matokeo ya kidato cha nne mwaka huu yanatisha. Moja kati ya sababu ni uchache wa walimu na vitendea kazi. Tungetarajia tuseme kwamba fedha hizo zitumike kuongeza mishahara ya walimu. Walimu wa shule ya msingi kwa mfano take home yao haizidi 5,000 kwa siku na wanafanya kazi
Halafu kumbuka pato hilo la mwalini ni kwa ajili ya kujikimu yeye na famijlia, kusomesha watoto, kusomesha watoto waliochuoni kama hao wanaodai nyongeza.