RugambwaYT
JF-Expert Member
- Jan 11, 2014
- 1,382
- 1,851
Ninavyofahamu, kama hakuna tatizo lingine la kiufundi, huko kutetemeka ni hali ya kawaida tu kwa hizo engines.Solution ni nini mkuu?
Ninavyofahamu, kama hakuna tatizo lingine la kiufundi, huko kutetemeka ni hali ya kawaida tu kwa hizo engines.Solution ni nini mkuu?
unaendesha bila kufunga mkanda na kama sihivyo bas unaendesha gari ikiwa hujaitoa kny parking brake ie handbreakMsaada jamani Raum inaonesha hivi kwenye Dashboard
Hiyo ni kama master warning sign.Msaada jamani Raum inaonesha hivi kwenye Dashboard
Msaada jamani Raum inaonesha hivi kwenye Dashboard
Mkuu hiyo ni boot rubber ishakufa ni ya kubadili pitia na kiyo CV joint kama ni nzima,he gari yako haina mlio wa ka! Ka! Ka ukatapo kona nyingiHili je linasovikaje hapa, mafundi njooniView attachment 410931
Ndio inalia hivyo nikikata kona, sasa limepaki tu. Napataje spare na wapi wanauza na bei zikoje ni Honda CR-VMkuu hiyo ni boot rubber ishakufa ni ya kubadili pitia na kiyo CV joint kama ni nzima,he gari yako haina mlio wa ka! Ka! Ka ukatapo kona nyingi
CR-V zilikua zinazisumbua spares enzi hizo, ila nina imani siku hizi zinapatikana. Kuna mdau aliwahi weka namba yake huku, hebu jaribu kucheki nae 0712 183826Ndio inalia hivyo nikikata kona, sasa limepaki tu. Napataje spare na wapi wanauza na bei zikoje ni Honda CR-V
Asante. Nakushukuru sna.CR-V zilikua zinazisumbua spares enzi hizo, ila nina imani siku hizi zinapatikana. Kuna mdau aliwahi weka namba yake huku, hebu jaribu kucheki nae 0712 183826
sio gari zote zina hiyo boton mkuuKwenye gari yangu Verosa hakuna hiyo od(overdrive) button sasa hii maana yake nn?
Well solved today.CR-V zilikua zinazisumbua spares enzi hizo, ila nina imani siku hizi zinapatikana. Kuna mdau aliwahi weka namba yake huku, hebu jaribu kucheki nae 0712 183826
Wajuzi...nijuzeni...kati ya nissan sunny na honda jazz ipi gari murua kwa matumizi ya mjini mjini?!
Inategemea kuna six na four cylinders... Hapo swala la fuel limepata ufumbuzi uchague ipi.Mwenye uzoefu na mark 2 gr anipe uzoefu kuhusu uimara, fuel na spare zake kwa ujumla...natanguliza shukrani.