Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

Mimi kwenye gari yangu kuna kadi sijui ya kazi gani, nahisi ni security system. Nisaidieni kujua,nawatumia picha
 
Picha
1472572062701.jpg
1472572070319.jpg
 
Wakuuu na gari aina ya passo sasa majuzi wakati naendesha ikaanza kupiga makerere na kutetemeka mwanzoni nlijua labda kwa kua mafuta yalikua kidogo, nlivyo weka bado tatiz likiendelea mara hii ata gari imekua aina nguvu kabisa ata ukikanyaga mafuta inatembea mwendo mdogo tofaut na awali, tatizo itakua nin wakuuu
Angalia vitu hivi;
1. Kagua mount zote tatu
2. Tafuta fundi umeme mzuri kabisa anaejua codes nyingi akufutie alarm maana hizo gari zinazotumia controlbox some tym ni very computerize usipokua makini watu wanaweza chokonoa gari yako kwa kuhisi magonjwa waliyoyazoea kwenye magari ya kawaida alafu wakakuharibia gari.
3. Angalia na hiyo miss.

Mimi pia passo yangu ilikua inatetemeka mpaka kero nishaenda kwa mafundi wataalamu kadhaa lakini ilishindikana matokeo yake niligundua mwenyewe hii mount ya upande wa gearbox ilikua imepasuka. Nikanunua nyingine nikafunga problem kwisha kabisa. Pia gari ilikua na tatizo nikiwa ndio nataka ondoa gari mfano nikiingiza gear yeyote kati ya reverse or D inachelewa kidogo alafu ikiingia inagonga na kustuka kwa nguvu, hapa ilikua kasheshe kila ninapoenda wananiambia ni gearbox inatakiwa kushushwa duh! Nikawa siamini naona kama nitaaribu gari. Finally kuna jamaa yangu akanielekeza kwa fundi wa umeme nikampelekea uzuri wa yule jamaa kazi ya kufanywa na kifaa cha kusoma dignosis akafanya mwenyewe kwa kuwa alishakariri codes nyingi mno, kumbe gari yangu ilikua ina fault nyingi kwenye controlbox basi alitumia kama lisaa limoja baada ya hapo gari mpya hakuna kustuka wala nini yaani saafi kabisa vinginevyo ningeibomoa gearbox bulee
 
Mkuu lipo moja kkoo, mbele kdogo ya big bon ukiwa km unaenda fire, kushoto kwako.. Ila uende vizur wanatizama uso ukienda kichwa kichwa wanakupiga spea ya 70 elfu utaskia lak 2, hawajakupigia hesabu ya kodi ya uwongo hapo.. Wezi kwel jamaa wale.

Ni kweli hao jamaa wanaitwa MASTERCARD, ni wezi sana wa kodi...! Kuna duka lingine lipo karibu na ofisi za Raha leo mtaa wa shaurimoyo, wale wapo vizuri sana. Wanauza spea mpya za nissani lkn pia wanakupa risiti halali ya malipo yako.
 
Angalia vitu hivi;
1. Kagua mount zote tatu
2. Tafuta fundi umeme mzuri kabisa anaejua codes nyingi akufutie alarm maana hizo gari zinazotumia controlbox some tym ni very computerize usipokua makini watu wanaweza chokonoa gari yako kwa kuhisi magonjwa waliyoyazoea kwenye magari ya kawaida alafu wakakuharibia gari.
3. Angalia na hiyo miss.

Mimi pia passo yangu ilikua inatetemeka mpaka kero nishaenda kwa mafundi wataalamu kadhaa lakini ilishindikana matokeo yake niligundua mwenyewe hii mount ya upande wa gearbox ilikua imepasuka. Nikanunua nyingine nikafunga problem kwisha kabisa. Pia gari ilikua na tatizo nikiwa ndio nataka ondoa gari mfano nikiingiza gear yeyote kati ya reverse or D inachelewa kidogo alafu ikiingia inagonga na kustuka kwa nguvu, hapa ilikua kasheshe kila ninapoenda wananiambia ni gearbox inatakiwa kushushwa duh! Nikawa siamini naona kama nitaaribu gari. Finally kuna jamaa yangu akanielekeza kwa fundi wa umeme nikampelekea uzuri wa yule jamaa kazi ya kufanywa na kifaa cha kusoma dignosis akafanya mwenyewe kwa kuwa alishakariri codes nyingi mno, kumbe gari yangu ilikua ina fault nyingi kwenye controlbox basi alitumia kama lisaa limoja baada ya hapo gari mpya hakuna kustuka wala nini yaani saafi kabisa vinginevyo ningeibomoa gearbox bulee
Shukrani sana mkuu nmejua wapi pa kuanzia.
 
Ni kweli hao jamaa wanaitwa MASTERCARD, ni wezi sana wa kodi...! Kuna duka lingine lipo karibu na ofisi za Raha leo mtaa wa shaurimoyo, wale wapo vizuri sana. Wanauza spea mpya za nissani lkn pia wanakupa risiti halali ya malipo yako.
Nhisi hapo ndiio nilipoenda kununya, baada ya kugadhibika na wale wahuni.
 
Mkuu mimi gari yangu ni RAUM toka juzi nikifunga milango ya kushoto kwenye dash board inaonyesha milango ipo wazi nimepeleka kwa mafundi kama watatu wameshindwa Sijui tatizo litakuwa nini
Raum zina shida ya umeme kwenye milango hasa ya kushoto nenda kwa ufundi auangalie
Kama umeme uko sawa angalie vile vibering vya chini
 
Naomba kujuzwa kile kitufe kilichoandikwa 'Down Auto/Up kina kazi gani? Hii ni Carina si. Ninayo mwaka mzima lakini hicho kitufe sijui kabisa matumizi yake, Msaada kwa anayejua.
1473213617420.jpg
 
Naomba kujuzwa kile kitufe kilichoandikwa 'Down Auto/Up kina kazi gani? Hii ni Carina si. Ninayo mwaka mzima lakini hicho kitufe sijui kabisa matumizi yake, Msaada kwa anayejua.View attachment 395248
hako kanatumika kuset side mirrow. Hapo juu unaweka kama ni left then unaanza kukiset kwa hizo batan za chini mpaka kitakapokaa unavyotaka
 
Naomba kujuzwa kile kitufe kilichoandikwa 'Down Auto/Up kina kazi gani? Hii ni Carina si. Ninayo mwaka mzima lakini hicho kitufe sijui kabisa matumizi yake, Msaada kwa anayejua.View attachment 395248
Hiyo ni switch ya taa za urembo (ziko kama antena) zinazokaa kwenye bumper mbele na nyuma. Hizo taa huwa zinaingia ndani (ukibofya down) na zinatokeza (ukibofya up). Ukiweka auto zinatokeza ukiwasha taa na kuzama ukizima taa.
 
Mkuu mshana jr kipando changu ukiendesha inakuwa kama inatikisika, sawa na kusema unaendesha baiskeli halafu tairi ina mawimbi. What could be the problem.

Pia naulizia ball joint used za Passo
 
Mkuu mshana jr kipando changu ukiendesha inakuwa kama inatikisika, sawa na kusema unaendesha baiskeli halafu tairi ina mawimbi. What could be the problem.

Pia naulizia ball joint used za Passo
Bolts n nuts kulegea kwenye mfumo mzima wa engine
Plugs za kubadili
Tyre zina nundu
 
Back
Top Bottom