Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

Inategemea kuna six na four cylinders... Hapo swala la fuel limepata ufumbuzi uchague ipi.
Kwa bodi Grand ni mkorosho unatengenezeka na spare zake nafuu.
NB:uimara wa gari sometimes ni matumizi yako mwenyewe. Unazingatia services... Unaliendeshaje kama rally au unaenda harusini vyote hivi hufanya gari iwe imara au la.
Akhsante ndugu yangu.
 
Inategemea kuna six na four cylinders... Hapo swala la fuel limepata ufumbuzi uchague ipi.
Kwa bodi Grand ni mkorosho unatengenezeka na spare zake nafuu.
NB:uimara wa gari sometimes ni matumizi yako mwenyewe. Unazingatia services... Unaliendeshaje kama rally au unaenda harusini vyote hivi hufanya gari iwe imara au la.
Sidhani kama Grande Mark II kuna yenye engine ya 4 cylinders. Ninachojua zote ni 6 cylinders. Tofauti ni cc. GX110 ina engine ya 1G FE ambayo ni cc2000 na kuna JZX110 ambayo ina engine ya 1JZ-FSE ambayo ni cc2500.
 
Kwangu Mimi, ukinambia pajero mini haitaki shida, nashangaa, Mimi ninayo, marafiki zangu wanaiita hardworker. Niliyonayo ni ya mwaka 1995, nasafiri nayo rough road na kwa hivi imeinuka kidogo, inadunda vizuri tu sana name safari zangu nyingi ni ndefu zaidi ya km elfu moja, name huwa sipumziki. Naipenda sana, sema kwa udogo wake, comfortability take so nzuri.
vipi bado unayo na vipi 1litr inaenda km nqap??? na vipi kama unajua msaada ukiagiza from Japan bei INA range ngapi
 
AUTOCOM JAPAN- USED CAR EXPORTERS –

MAGARI MAZURI KWA BEI POA

Je unahitaji kuagiza gari toka Japan?

Je unahitaji kupata gari nzuri toka Japan kwa bei nafuu na kwa muda mfupi?

Tafadhali wasiliana nasi ili kuweza kupata utaratibu wa kuagiza gari kwa bei nafuu na kwa muda mfupi zaidi.

Tembelea offisi zetu@ Quality center mall – Nyerere/Pugu road, Dar es salaam

Simu/whatsapp: +255 674 518 707

Email: msuya.autocj@gmail.com : msuya@autocj.co.jp

Website: Japanese Used Cars Stock List | Autocom Japan


tanzania.jpg

tanzania_1.jpg

tanzania_2.jpg
 
Wakuu msaada tafadhali. .
Vipi kuhusu spare parts za Subaru siku hizi zinapatikana! ?
 
Wakuu salama...kufanya engine diagnosis ni kama shiling ngap...na wapi ni mahali pazuri.
toyota opa inazingua kidogo
 
Back
Top Bottom