Gideon Mwasabwite
Member
- Sep 10, 2012
- 23
- 8
Tembeleeni site ya board uangalie jina lako, la mwanao, binti yako, au yule unaehusika nae. Majina yametoka.
Nawapenda na kuwaheshmu wasomi wenzangu embu kwa mtu ambaye ana uhakika kabsa aniambia pia kama vp YaTUpien humu ndan wengne tuko lindi vjjn shda sana tunatumia simu ndo inatufanya tukutane hapa jukwaan
Kwa mwaka mmoja?Au kwa kozi nzima? Na wewe ya kwako umejuaje ni 100%?wame include accomodation,schoolfees,research na vitu vingine..
teh! teh! teh! kijana hiyo ndo 100% na mimi nilie lamba Tsh.4,502,500/= niseme nimelamba % ngapi??